Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
KWA TAARIFA NILIZONAZO :mataifa yote makubwa hawapo tayari kuona C C M inaachia madaraka kwa kuwa wanapata kila kitu bure hasa rasilimali kutoka kwa Uongozi wa Serikali ya chama hicho
viongozi waliopo madarakani hawana tena sauti kwa watanzania walio wengi,ila kwa ubabe wa wakubwa ikiwemo China na Marekani,ndo maana Juzi aliyeitwa balozi wa China alifanya aliyofanya kwa mkutano wa Kinana
ziara za nje za serikali zimekuwa kuomba msaada wa chama kubaki madarakani kuliko kuwasaidia watu wake kujiletea maendeleo
MY TAKE; vyama vya upinzani visitegemee sana wahisani toka nje wajikite kwa elimu ya uraia hapahapa nchini
viongozi waliopo madarakani hawana tena sauti kwa watanzania walio wengi,ila kwa ubabe wa wakubwa ikiwemo China na Marekani,ndo maana Juzi aliyeitwa balozi wa China alifanya aliyofanya kwa mkutano wa Kinana
ziara za nje za serikali zimekuwa kuomba msaada wa chama kubaki madarakani kuliko kuwasaidia watu wake kujiletea maendeleo
MY TAKE; vyama vya upinzani visitegemee sana wahisani toka nje wajikite kwa elimu ya uraia hapahapa nchini