TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
1) Uliagiza Mwanza wasivunjiwe Nyumba kwa Kuwa walikupigia Kura, Ubungo Walivunjiwa Nyumba ikiwemo kupondaponda Kabati zao, vyungu, vitanda etc Ndani ya Nyumba zao kwa Sababu gani?
2) Uliruhusu Kanda ya Ziwa walime kando ya Mito, Bustani za Mbowe zilikatwakatwa kwa sababu gani?
3) Uliwaaruhusu "Wakulima" wenye Tani Ishirini za Ndizi Bukoba wapitishe tani moja moja ikifika Jioni wanakuwa wamepitisha Tani 20 zote! Je "Mfugaji" Akiuza Mbuzi au Ng'ombe Mmoja analipa kodi ya nini?
4) Ulikiri kuwa Ulituma Wanasheria Canada kushughulikia Bombardier iliyokjwa confiscated, shikiliwa, Usaliti wa Tundu Lissu au Uwongo wake Ulikuwa nini?
5) Ulimpandisha Cheo Myeti aliyeonekana wazi Akinunua Madiwani wa Chadema kwa Rushwa, Ila unatembea nchi nzima Ukidai Unapigana na Rushwa! Unakuwa ukiwachukulia Watanzania ni Wajinga Kiasi gani? la kama sio, Rushwa Kwako maana yake nini?
6) Ulisema Kuwa Ukulima Shambani Ukimkuta Nyoka Unamponda akiponyoka Bahati yake! Hivi kihalisi ulimaanisha nini? Nyoka, Kuponda, Kaponyoka! Discussed hii issue!
Kwa Leo Ni hayo Ila Maswali Ninayo Mengi nitauliza Baadaye,
Nyerere hoyeeeee
Mwinyi hoyeee
Kikwete juuu!
Ben Saa Nane Alikuwa My Young Brother! By The Way!
2) Uliruhusu Kanda ya Ziwa walime kando ya Mito, Bustani za Mbowe zilikatwakatwa kwa sababu gani?
3) Uliwaaruhusu "Wakulima" wenye Tani Ishirini za Ndizi Bukoba wapitishe tani moja moja ikifika Jioni wanakuwa wamepitisha Tani 20 zote! Je "Mfugaji" Akiuza Mbuzi au Ng'ombe Mmoja analipa kodi ya nini?
4) Ulikiri kuwa Ulituma Wanasheria Canada kushughulikia Bombardier iliyokjwa confiscated, shikiliwa, Usaliti wa Tundu Lissu au Uwongo wake Ulikuwa nini?
5) Ulimpandisha Cheo Myeti aliyeonekana wazi Akinunua Madiwani wa Chadema kwa Rushwa, Ila unatembea nchi nzima Ukidai Unapigana na Rushwa! Unakuwa ukiwachukulia Watanzania ni Wajinga Kiasi gani? la kama sio, Rushwa Kwako maana yake nini?
6) Ulisema Kuwa Ukulima Shambani Ukimkuta Nyoka Unamponda akiponyoka Bahati yake! Hivi kihalisi ulimaanisha nini? Nyoka, Kuponda, Kaponyoka! Discussed hii issue!
Kwa Leo Ni hayo Ila Maswali Ninayo Mengi nitauliza Baadaye,
Nyerere hoyeeeee
Mwinyi hoyeee
Kikwete juuu!
Ben Saa Nane Alikuwa My Young Brother! By The Way!