Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,873
- 4,580
Kwahyo akidai haki yake inakuwaje hapo..?Yaani hii case yake ni System tu ndio ime command hivyo.
na utumishi wamesema hawwz badili. maana mzigo mpk umekuwa Published inamaana walisha signed.
Mimi bado siamini katika hili, nahisi Kuna kitu nyuma ya Pazia.. coz ni kwa mara ya kwanza naona haya maruerue
