meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,355
- 2,932
Mie nakusaidia oral mkuu jiandae na topic moja unaijua vizuri utapewa karatas Kama mtakua wengi utaambiwa uchague topic na u present na u assume Kama panel ni wanafunzi unawafundisha so utaandika maelezo we then mtakusanya karatas msubri kuitwa interview ukiingia watakuambia usamarize ulichoandika kwenye karatas baada ya hapo utapigwa swali moja kulingana na ulichopresent jiandae na important ya topic Yako, baada ya hapo ni introduce you self and your education background, baada ya hapo ni maswali mengine Kama mawili hivyo interview inaisha so ni hicho nachojua mie sina nodo za written kwa sababu ya kada tofauti na niliyosomea mie

