Maswali ya wapenzi wetu

Maswali ya wapenzi wetu

Kizazi changu kilivuka salama HATUA HII!
 
Eti una mpango gani na mimi au unataka kunichezea tu uniache? Najibu sina mpango wa kukuchezea lakini hata ikitokea usistuke maana sijakukuta bikra

kwanza ni kuchezeana kwani ye huwa ametulia tu wakati wa kugegeda.... tena ndo kwanza anakimbilia kwenye dushe
 
Mimi naona sio kweli na wengi wao wanaojifanya ni wajanja ukute ni wapole sana isitoshe story nyingi hapa ni za kutunga tunga yaani ni ujanja wa vidole gumba tu.
Hivi kweli ndivyo mnavyo wajibu wapenzi wenu au mnazuga tu hapa.
 
umenikumbusha ndege alivyo ni kimbiiaga lodge kwa hilo swali la pili wakati anauliza mhudumu akaropoka hapa ndo kwake kafika na kumalizia unabahati rumu yako haina mtu
 
umenikumbusha ndege alivyo ni kimbiiaga lodge kwa hilo swali la pili wakati anauliza mhudumu akaropoka hapa ndo kwake kafika na kumalizia unabahati rumu yako haina mtu

hahahhha kwa hasira huyo muhudumu ndo atanmalizia ugwadu wote na hata buku hapati... kiherehere ka kaulizwa yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom