Maswali ya wanawake..

Asiipoongea na wewe utalalamika anakisirani, akiongea na wewe unaona kero... ndiyo maana wengine wanaamua kuwa busy na smartphones zao na kuchat na watu wanaowasikiliza...
 
Mwenyewe napendaga kweli maswali huwa natamani niulize tu nijibiwe huwa nafurahia kwa kweli.
Eti bae leo umerudi nyumbani saa ngapi
 
Hahaha mmetisha sana kwenye hiyo ndoa. Inaonyesha jamaa unakausha sana mpaka missus anatafuta convo kwenye matangazo ya biashara. Natamani kusikia majibu yako kwa maswali kama hayo.
 
Subiri hivyo hivyo siku akutane na wapiga debe na wazee wa swaga waanze kupiga mashine kisha uje hapa kulalamika unapigiwa ...[emoji224][emoji224][emoji224]
 
Mimi huwa nakoma nikiwa naangalia mpira naye akiwa karibu.
 
Ndio hivyo mkuu, tuwazoee. Na ukiwa unamjibu wanafarijika sana anajua unamsikiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…