Maswali ya kada mmoja mtiifu

Maswali ya kada mmoja mtiifu

Kijukuu cha ngoyayi

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2018
Posts
2,918
Reaction score
5,523
KUNA MWANACHAMA WA CCM AMEANDIKA KUWAAULIZA WANA CCM WENZAKE MSOME👇

Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli?

Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi?

Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi?

Chadema ni nani Hawa? Wako wangapi? Mbona takwimu zetu mara zote huonesha ni wachache wasio na madhara?

Mbona hawana Jeshi hawa, wanao-ongea kwenye majukwaa wako watatu tu yuko Lisu Heche na Lema? Sisi tuna wengi sana, tuna Kila aina ya raslimali Hii hofu yetu inatoakana na nini?

Mbona sisi tunawanachama wengi zaidi? Wanamuziki wote wanatuunga Mkono sisi? Comedians wote, waaigizaji wote, vyomba vyote viko kwetu!! Wao pesa hawana wanategemea tone tone sisi tuna Kila kitu!!

Nauliza Ndugu zangu wapi Chadema? Je ni hoja zao? Je wametuzidi lini wanachama?

Nani ametukataa sisi Wana CCM? Ni Chadema au ni Wananchi?

Wana CCM tujiulize vizuri, nahisi tunatafuta majawabu katika maswali yasiyo sahihi!!

Tumekataliwa na nani?

Kama wananchi wangekuwa upande wetu kweli Chadema ingekuwa ni tatizo kwetu? Hofu yetu inatoka wapi kama Chadema haina wanachama na haiungwi Mkono na Wananchi?

Mbona ni kama tumeacha tatizo tunashughulika na matokeo?

Hivi tukifanikiwa kuiondosha Chadema kwenye Ramani ya nchi yetu hivi tunaamini tutakuwa na amani? Au ndio tunaamini imani ya Wananchi itarudi kwetu?

Na hapa tunahitaji kuifuta Chadema au kuwafuta wenye imani ya Ki-Chadema? Tukiamua Hilo tuna hakika hatutawafuta na wanaovaa kijani kama sisi?

Tuanze kutafuta kipimo Cha kupima tunaovaa kijani imani yetu Iko wapi

Mbona matendo haya yanazidi kuumiza walio wetu kuliko hao Chadema?

Hii chuki mnafikiri inamipaka? Baada ya kuwaumiza na kuwatweza huwa tunakaa kufanya tathmini ya namna tulivyowavutia wananchi? Au tukimaliza tunaishia kusema tumewakomesha?

Hivi wako watu makini wanaopita na kufanya tathmini ya faida na madhara ya matendo yetu kweli? Au tunaishia kupongezana na kusema watatutambua sisi nani?

Nauliza na naomba mtu anijibu, Je tatizo letu ni Chadema Kweli au ni Wananchi waliotukataa? Na haya yanayoendelea tuna amini yatasaidia kurejesha imani kwa wananchi?
 
KUNA MWANACHAMA WA CCM AMEANDIKA KUWAAULIZA WANA CCM WENZAKE MSOME👇

Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli?

Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi?

Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi?

Chadema ni nani Hawa? Wako wangapi? Mbona takwimu zetu mara zote huonesha ni wachache wasio na madhara?

Mbona hawana Jeshi hawa, wanao-ongea kwenye majukwaa wako watatu tu yuko Lisu Heche na Lema? Sisi tuna wengi sana, tuna Kila aina ya raslimali Hii hofu yetu inatoakana na nini?

Mbona sisi tunawanachama wengi zaidi? Wanamuziki wote wanatuunga Mkono sisi? Comedians wote, waaigizaji wote, vyomba vyote viko kwetu!! Wao pesa hawana wanategemea tone tone sisi tuna Kila kitu!!

Nauliza Ndugu zangu wapi Chadema? Je ni hoja zao? Je wametuzidi lini wanachama?

Nani ametukataa sisi Wana CCM? Ni Chadema au ni Wananchi?

Wana CCM tujiulize vizuri, nahisi tunatafuta majawabu katika maswali yasiyo sahihi!!

Tumekataliwa na nani?

Kama wananchi wangekuwa upande wetu kweli Chadema ingekuwa ni tatizo kwetu? Hofu yetu inatoka wapi kama Chadema haina wanachama na haiungwi Mkono na Wananchi?

Mbona ni kama tumeacha tatizo tunashughulika na matokeo?

Hivi tukifanikiwa kuiondosha Chadema kwenye Ramani ya nchi yetu hivi tunaamini tutakuwa na amani? Au ndio tunaamini imani ya Wananchi itarudi kwetu?

Na hapa tunahitaji kuifuta Chadema au kuwafuta wenye imani ya Ki-Chadema? Tukiamua Hilo tuna hakika hatutawafuta na wanaovaa kijani kama sisi?

Tuanze kutafuta kipimo Cha kupima tunaovaa kijani imani yetu Iko wapi

Mbona matendo haya yanazidi kuumiza walio wetu kuliko hao Chadema?

Hii chuki mnafikiri inamipaka? Baada ya kuwaumiza na kuwatweza huwa tunakaa kufanya tathmini ya namna tulivyowavutia wananchi? Au tukimaliza tunaishia kusema tumewakomesha?

Hivi wako watu makini wanaopita na kufanya tathmini ya faida na madhara ya matendo yetu kweli? Au tunaishia kupongezana na kusema watatutambua sisi nani?

Nauliza na naomba mtu anijibu, Je tatizo letu ni Chadema Kweli au ni Wananchi waliotukataa? Na haya yanayoendelea tuna amini yatasaidia kurejesha imani kwa wananchi?
Kabla ya Chadema CUF, NCCR Magreuzi n TLP walipokhwa na nguvu nao walilitia kwenye tanuri la moto la CCM na polisi japo si kwa kiasi hiki cha CHADEMA.
 
Jitikise ulipo uliyesema haya nikuoneee,nshamic nyamaa
FB_IMG_1746203025363.jpg
 
KUNA MWANACHAMA WA CCM AMEANDIKA KUWAAULIZA WANA CCM WENZAKE MSOME👇

Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli?

Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi?

Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi?

Chadema ni nani Hawa? Wako wangapi? Mbona takwimu zetu mara zote huonesha ni wachache wasio na madhara?

Mbona hawana Jeshi hawa, wanao-ongea kwenye majukwaa wako watatu tu yuko Lisu Heche na Lema? Sisi tuna wengi sana, tuna Kila aina ya raslimali Hii hofu yetu inatoakana na nini?

Mbona sisi tunawanachama wengi zaidi? Wanamuziki wote wanatuunga Mkono sisi? Comedians wote, waaigizaji wote, vyomba vyote viko kwetu!! Wao pesa hawana wanategemea tone tone sisi tuna Kila kitu!!

Nauliza Ndugu zangu wapi Chadema? Je ni hoja zao? Je wametuzidi lini wanachama?

Nani ametukataa sisi Wana CCM? Ni Chadema au ni Wananchi?

Wana CCM tujiulize vizuri, nahisi tunatafuta majawabu katika maswali yasiyo sahihi!!

Tumekataliwa na nani?

Kama wananchi wangekuwa upande wetu kweli Chadema ingekuwa ni tatizo kwetu? Hofu yetu inatoka wapi kama Chadema haina wanachama na haiungwi Mkono na Wananchi?

Mbona ni kama tumeacha tatizo tunashughulika na matokeo?

Hivi tukifanikiwa kuiondosha Chadema kwenye Ramani ya nchi yetu hivi tunaamini tutakuwa na amani? Au ndio tunaamini imani ya Wananchi itarudi kwetu?

Na hapa tunahitaji kuifuta Chadema au kuwafuta wenye imani ya Ki-Chadema? Tukiamua Hilo tuna hakika hatutawafuta na wanaovaa kijani kama sisi?

Tuanze kutafuta kipimo Cha kupima tunaovaa kijani imani yetu Iko wapi

Mbona matendo haya yanazidi kuumiza walio wetu kuliko hao Chadema?

Hii chuki mnafikiri inamipaka? Baada ya kuwaumiza na kuwatweza huwa tunakaa kufanya tathmini ya namna tulivyowavutia wananchi? Au tukimaliza tunaishia kusema tumewakomesha?

Hivi wako watu makini wanaopita na kufanya tathmini ya faida na madhara ya matendo yetu kweli? Au tunaishia kupongezana na kusema watatutambua sisi nani?

Nauliza na naomba mtu anijibu, Je tatizo letu ni Chadema Kweli au ni Wananchi waliotukataa? Na haya yanayoendelea tuna amini yatasaidia kurejesha imani kwa wananchi?
KUNA MWANACHAMA WA CCM AMEANDIKA KUWAAULIZA WANA CCM WENZAKE MSOME👇

Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli?

Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi?

Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi?

Chadema ni nani Hawa? Wako wangapi? Mbona takwimu zetu mara zote huonesha ni wachache wasio na madhara?

Mbona hawana Jeshi hawa, wanao-ongea kwenye majukwaa wako watatu tu yuko Lisu Heche na Lema? Sisi tuna wengi sana, tuna Kila aina ya raslimali Hii hofu yetu inatoakana na nini?

Mbona sisi tunawanachama wengi zaidi? Wanamuziki wote wanatuunga Mkono sisi? Comedians wote, waaigizaji wote, vyomba vyote viko kwetu!! Wao pesa hawana wanategemea tone tone sisi tuna Kila kitu!!

Nauliza Ndugu zangu wapi Chadema? Je ni hoja zao? Je wametuzidi lini wanachama?

Nani ametukataa sisi Wana CCM? Ni Chadema au ni Wananchi?

Wana CCM tujiulize vizuri, nahisi tunatafuta majawabu katika maswali yasiyo sahihi!!

Tumekataliwa na nani?

Kama wananchi wangekuwa upande wetu kweli Chadema ingekuwa ni tatizo kwetu? Hofu yetu inatoka wapi kama Chadema haina wanachama na haiungwi Mkono na Wananchi?

Mbona ni kama tumeacha tatizo tunashughulika na matokeo?

Hivi tukifanikiwa kuiondosha Chadema kwenye Ramani ya nchi yetu hivi tunaamini tutakuwa na amani? Au ndio tunaamini imani ya Wananchi itarudi kwetu?

Na hapa tunahitaji kuifuta Chadema au kuwafuta wenye imani ya Ki-Chadema? Tukiamua Hilo tuna hakika hatutawafuta na wanaovaa kijani kama sisi?

Tuanze kutafuta kipimo Cha kupima tunaovaa kijani imani yetu Iko wapi

Mbona matendo haya yanazidi kuumiza walio wetu kuliko hao Chadema?

Hii chuki mnafikiri inamipaka? Baada ya kuwaumiza na kuwatweza huwa tunakaa kufanya tathmini ya namna tulivyowavutia wananchi? Au tukimaliza tunaishia kusema tumewakomesha?

Hivi wako watu makini wanaopita na kufanya tathmini ya faida na madhara ya matendo yetu kweli? Au tunaishia kupongezana na kusema watatutambua sisi nani?

Nauliza na naomba mtu anijibu, Je tatizo letu ni Chadema Kweli au ni Wananchi waliotukataa? Na haya yanayoendelea tuna amini yatasaidia kurejesha imani kwa wananchi?

Ukweli mchungu Sana ni kwamba CCM imepoteza kabisa mvuto! CCM imepoteza kabisa Ushawishi!

Haya mashambulizi yanayofanywa dhidi ya Wapenda Haki ni kwa sababu waTanzania wameikataa CCM 'na mambo yake yote kabisa.'

Na hili vuguvugu kubwa la kuikataa kabisa CCM limefikia hatua mbaya sana ambayo Waingereza wanaiita kuwa ni "The Point of No Return."

Kwa sasa Kitu pekee kilichobaki kwao ni kwa Wenye CCM yao "Kujiandaa Kisaikolojia kuwa Chama Cha Upinzani" kama ambavyo alifanya aliyekuwa Rais wa Kenya Bw. Daniel arap Moi kwa kuwaandaa Wanachama wenzake wa Chama Cha KANU baada ya kuona kwamba Wananchi wengi wa Kenya walikikifu kabisa Chama hicho.

Rais Daniel arap Moi enzi za Utawala wake baada ya kuona kwamba Wananchi wengi sana wa Kenya walikuwa hata wakijihisi 'kichefuchefu' pale walipokuwa wakitajiwa jina la Chama hicho cha KANU, kwa kutumia busara kubwa sana aliamua kuwaandaa Kisaikolojia Wanachama wenzake wa Chama Tawala cha KANU ili waweze kuwa tayari kuyapokea mabadiliko ya Utawala ambayo yalikuwa yakinuiwa na Wananchi wengi katika nchi hiyo ya Kenya. Kwa hakika, Rais Moi alikuwa mbele ya wakati, kwa sababu ulipofika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge kwenye nchi hiyo wa Mwaka 2002, Chama hicho tawala cha KANU kiligaragazwa vibaya sana kwenye Matokeo ya Uchaguzi Mkuu na NARC. Chama hicho cha KANU kiling'olewa Madarakani, na mpaka sasa Chama hicho kimekufa kabisa na kufutika katika Ramani ya Dunia!
Kwa hiyo, CCM nayo kwa sasa inapaswa kujiandaa kisaikolojia na hilo, wakati muafaka umefika wa kufuata nyayo za KANU!
 
KUNA MWANACHAMA WA CCM AMEANDIKA KUWAAULIZA WANA CCM WENZAKE MSOME👇

Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli?

Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi?

Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi?

Chadema ni nani Hawa? Wako wangapi? Mbona takwimu zetu mara zote huonesha ni wachache wasio na madhara?

Mbona hawana Jeshi hawa, wanao-ongea kwenye majukwaa wako watatu tu yuko Lisu Heche na Lema? Sisi tuna wengi sana, tuna Kila aina ya raslimali Hii hofu yetu inatoakana na nini?

Mbona sisi tunawanachama wengi zaidi? Wanamuziki wote wanatuunga Mkono sisi? Comedians wote, waaigizaji wote, vyomba vyote viko kwetu!! Wao pesa hawana wanategemea tone tone sisi tuna Kila kitu!!

Nauliza Ndugu zangu wapi Chadema? Je ni hoja zao? Je wametuzidi lini wanachama?

Nani ametukataa sisi Wana CCM? Ni Chadema au ni Wananchi?

Wana CCM tujiulize vizuri, nahisi tunatafuta majawabu katika maswali yasiyo sahihi!!

Tumekataliwa na nani?

Kama wananchi wangekuwa upande wetu kweli Chadema ingekuwa ni tatizo kwetu? Hofu yetu inatoka wapi kama Chadema haina wanachama na haiungwi Mkono na Wananchi?

Mbona ni kama tumeacha tatizo tunashughulika na matokeo?

Hivi tukifanikiwa kuiondosha Chadema kwenye Ramani ya nchi yetu hivi tunaamini tutakuwa na amani? Au ndio tunaamini imani ya Wananchi itarudi kwetu?

Na hapa tunahitaji kuifuta Chadema au kuwafuta wenye imani ya Ki-Chadema? Tukiamua Hilo tuna hakika hatutawafuta na wanaovaa kijani kama sisi?

Tuanze kutafuta kipimo Cha kupima tunaovaa kijani imani yetu Iko wapi

Mbona matendo haya yanazidi kuumiza walio wetu kuliko hao Chadema?

Hii chuki mnafikiri inamipaka? Baada ya kuwaumiza na kuwatweza huwa tunakaa kufanya tathmini ya namna tulivyowavutia wananchi? Au tukimaliza tunaishia kusema tumewakomesha?

Hivi wako watu makini wanaopita na kufanya tathmini ya faida na madhara ya matendo yetu kweli? Au tunaishia kupongezana na kusema watatutambua sisi nani?

Nauliza na naomba mtu anijibu, Je tatizo letu ni Chadema Kweli au ni Wananchi waliotukataa? Na haya yanayoendelea tuna amini yatasaidia kurejesha imani kwa wananchi?
Huyu mwananchi ana Akili ya juu sana,Mungu kampa Hekima na Ufamu!Kama ni wewe pia pokea maua Yako!
 
Back
Top Bottom