Maswali usahili wa Hakimu Mkazi II

Maswali usahili wa Hakimu Mkazi II

uanasheria wako haukusaidii kitu, unajuaje mimi ni dogo, pia nakupa maswali serious unasema ni habari za kijiweni

Maswali serious wapi upuuzi tu huo. Ni seneta gani mtaje, nini hoja zake, nani anamwakilisha Mungu, hoja zipi zinajadiliwa mbele ya mahakama? Hicho unachokisema nafahamu kuwa ni filamu ipo itafute hata You Tube, lakini kwenye uhalisia hakuna kitu kama hicho.
 
Dadio mkuu;nimekuinbox msaada wa kuchekiwa jina kama bado unalo gazeti
 
Back
Top Bottom