Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Wadau naombeni kunijuza juu ya ubora wa gari la aina yya TOYOTA VOLTZ imetokea kuipenda kwa ajili ya matumizi ya kawaida ofisini na binafsi.Ila nawasi wasi juu ya either ubora na uimara wake. mie naishi mabonde kuinama zaidi ya 1,500km kutoka dar.Ushauri wenu utazingatiwa san na mshukuriwe wote .
Hii itakuwa ni nje ya Tanzania hivyo wauliza wadau wa pande hizo