GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Spika Ana Makinda yupo katika kiti chake tayari kuendesha mjadala wa maswali na majibu kabla ya kuendelea na hoja iliyoahirishwa jana ya kuchangia Mpango wa maendeleo 2011/12 - 2015/16
Asante kwa updates,lkn hilo la rural electrification naona kama linaota mbawa coz lipo tangu longi!Ngeleja: Vijiji vinavyopitiwa na nyaya za umeme wakati wao hawana umemeWizara imeigiza TANESCO kupitia wakala wa Nishati vijijini kureview mpango huo na kupata transforma zitakazowezesha kusambaa umeme katika vijiji ambavyo nyaya za gidi ya Taifa zinapitaSwali la nyongeza
ataje kiasi sio kusema tuu ooh zimetengwa!Fedha zitatoka wapi?Waziri Ngeleja anasema fedha zishatengwa katika bajeti katika fungu ala wakala wa Nishati Vijijini
ataje kiasi sio kusema tuu ooh zimetengwa!
hati za kimila, hapo sasa...! mkazo vijijini tu,vp wa mjini ambao humiliki ardhi kimila?Lini serikali itatoa hati za kimila za ardhi?Naibu Waziri: Kwa kushirikiana na MKURABITA serikali imefanikisha zoezi hilo na wilaya kadhaa zaoezi hilo linaendelea na linatarajiwa kukamilika mapema mwaka huu katika wilaya nyingine saba, na zaidi ya hati miliki za kimila 4000 zisahatolewaVijiji vimehimizwa kutimiza masharti husika ili kukamilisha zoezi hilo.