Nimekaa nikatafakari sana, nikajiuliza sana, nikaamua na mimi kutoa maoni yangu juu ya mwenendo wa siasa hapa nchini Tanzania hasa kwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nimejiuliza maswali muhimu mawili (2) magumu ambayo nimeshindwa kupata majibu kusuhu huyu mgombea wa uraisi kupitia umoja wa vyama vya UKAWA.
1. Kwa nini vijana wengi hasa wasiokuwa na ajira, walalahoi na mamalishe humshabikia sana Lowassa wakati wasomi, wazee makini na kiujumla watu MAKINI wakimpinga? Je ni kwa sababu Lowassa ANAUCHUKIA umasikini? Je Lowassa akiwa raisi ataoneshaje kuwa ni kwel unauchukia umasikini kwa hawa mamalishe na hawa vijana wasiokuwa na kazi? Atafanya nini hasa kwa haya makundi anayopenda KUJIOSHEA wakati wa hoja zake za kutafuta kura? Nachokijua mimi hizo ni kauli za kisiasa tu katika kutafuta kura. Nasema hivyo kwa sabubu zifuatazo:-
a) Kwanza mimi siamini kama kuna urafiki kati ya TAJIRI na MASIKINI. Hakuna huo urafiki, haupo.
b) Nyuma ya Lowassa kuna watu kama Lostam, Kalamagi ambao wote ni matajiri. Lowassa anatumia umasiki wa haya makundi kuyalaghai akijua pia kuwa ni MASIKINI WA KUFIKIRI na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari mambo.
c) Tatizo la ajira kwa vijana kwa sasa halitatuliki kwa njia yoyote, hata kama ni kujenga viwanda kila kata. Vijana wanaohitimu vyuo ni wengi sana kila mwaka. Uwiano wa kila kazi moja inayotangazwa kwa sasa ni 1:90. Na bado watu tunazaa kama hatuna akili nzuri. Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu MAKINI tukuelewe.
2. Kwa nini Lowassa amengangania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?
Lowassa kiujumla yuko na uroho wa madaraka, uraisi kwake ni kufa na kupona. Na mbaya zaidi anatumia kundi la vijana hasa wasiokuwa na ajira (wasiokuwa na uwezo wa kufikiria na kudadavua mambo) ambao ndo wengi kuwalaghai na kauli ya NACHUKIA UMASIKI wakati hakuna urafiki kati yake yeye tajiri na umasikini.
Kama ulikaa ukafikiri ni moja kwa moja ulifikiri kwa kutumia makalio. Pambaf
1. Kwa nini vijana wengi hasa wasiokuwa na ajira, walalahoi na mamalishe humshabikia sana Lowassa wakati wasomi, wazee makini na kiujumla watu MAKINI wakimpinga? Je ni kwa sababu Lowassa ANAUCHUKIA umasikini? Je Lowassa akiwa raisi ataoneshaje kuwa ni kwel unauchukia umasikini kwa hawa mamalishe na hawa vijana wasiokuwa na kazi? Atafanya nini hasa kwa haya makundi anayopenda KUJIOSHEA wakati wa hoja zake za kutafuta kura? Nachokijua mimi hizo ni kauli za kisiasa tu katika kutafuta kura. Nasema hivyo kwa sabubu zifuatazo:-
c) Tatizo la ajira kwa vijana kwa sasa halitatuliki kwa njia yoyote, hata kama ni kujenga viwanda kila kata. Vijana wanaohitimu vyuo ni wengi sana kila mwaka. Uwiano wa kila kazi moja inayotangazwa kwa sasa ni 1:90. Na bado watu tunazaa kama hatuna akili nzuri. Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu MAKINI tukuelewe.
2. Kwa nini Lowassa amengangania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?
We si boda boda ulilipwa hela yako ya mafuta??
Kweli vijana wa UKAWA n wagonjwa wa maadili
Kaz yao kutukana tu
TAHADHARI= kuna ugonjwa umeingia hapa nchini, ugonjwa huu unaitwa UKAWA, dalili zake ni ukosefu wa maadili kwa vijana, uroho wamadaraka, ukabila,ukiukwaji wahaki, kama upatapo dalili hizo jua umepata ugonjwa huo,umewapoteza watu muhimu kama Dr.silaa na Pr.lipumba dawa zinapatikana katika ofisi zote za CCM ambazo zipo nchini kote zikiongozwa na mtaalam wa ugonjwa huo Dr JONH POMBE MAGUFULI.
Labda tu nimfahamishe mtoa mada, Tembulukoje, na wengine waliopofushwa na usanii wa CCM kuwa serikali hii hii ya CCM iliridhia na hivyo kuwajibika kutekeleza, pamoja na mambo mengine, Malengo ya Milenia ambayo yalipaswa yawe yametekelezwa katika kipindi 2000-2015. Kuhusu ajira, serikali ilipaswa iwe imetimiza lengo hili kufikia 2015: "Target 1.B: Achieve full and productive employment and decent work for all, including women and young people". Je ni kwa kiasi gani hili lengo limetekelezwa? Hao aliowataja mtoa mada wanafahamu jibu na ndio maana wanatambua kuwa serikali ya CCM imeshindwa kazi na inapaswa ipigwe chini 25/10/15. Are there any 'great thinkers' worth the name who don't realise this?
Umejitahidi kuandika japo hakuna la maana, endelea kujitahidi labda siku moja unaweza kuandika la maana.2. Kwa nini Lowassa amengangania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?
Umejitahidi kuandika japo hakuna la maana, endelea kujitahidi labda siku moja unaweza kuandika la maana.
Kwani wewe umechukua fomu ya kugombea uongozi wowote (udiwani, ujumbe, ubunge au urais)? Kama hujachukua basi ni wazi wewe hutaki madaraka ya aina yoyote lakini yeyote aliyechukua fomu katika ngazi yoyote ni wazi ana uroho na anataka madaraka regardless kwa nguvu kiasi gani! Kwa hiyo kati ya woooooooooooooote umemuona EL tu!?
Embu andika hoja (issues) na sio watu, mbali na hapo utabadilika kama akina Polepole na Btku ambao badala ya kuleta hoja wanatwambia juu ya individuals/mtu/EL na Watanzania wenye uchu wa mabadiliko wameanza kuwapuuza tayari.
yani magufuli anasahaulika,mda huu mngetumia kumnadi mgombea wenu badala ya kujitahidi kumchafua lowasa,kiufupi ni kwamba ccm imechokwa na wananchi wanaopenda maendeleo,wale wananchi wanaofurahia kusafirishwa twiga bila pasi ya kusafiria ndio wanaoishabikia ccm
Nimekaa nikatafakari sana, nikajiuliza sana, nikaamua na mimi kutoa maoni yangu juu ya mwenendo wa siasa hapa nchini Tanzania hasa kwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nimejiuliza maswali muhimu mawili (2) magumu ambayo nimeshindwa kupata majibu kusuhu huyu mgombea wa uraisi kupitia umoja wa vyama vya UKAWA.
1. Kwa nini vijana wengi hasa wasiokuwa na ajira, walalahoi na mamalishe humshabikia sana Lowassa wakati wasomi, wazee makini na kiujumla watu MAKINI wakimpinga? Je ni kwa sababu Lowassa ANAUCHUKIA umasikini? Je Lowassa akiwa raisi ataoneshaje kuwa ni kwel unauchukia umasikini kwa hawa mamalishe na hawa vijana wasiokuwa na kazi? Atafanya nini hasa kwa haya makundi anayopenda KUJIOSHEA wakati wa hoja zake za kutafuta kura? Nachokijua mimi hizo ni kauli za kisiasa tu katika kutafuta kura. Nasema hivyo kwa sabubu zifuatazo:-
a) Kwanza mimi siamini kama kuna urafiki kati ya TAJIRI na MASIKINI. Hakuna huo urafiki, haupo.
b) Nyuma ya Lowassa kuna watu kama Lostam, Kalamagi ambao wote ni matajiri. Lowassa anatumia umasiki wa haya makundi kuyalaghai akijua pia kuwa ni MASIKINI WA KUFIKIRI na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari mambo.
c) Tatizo la ajira kwa vijana kwa sasa halitatuliki kwa njia yoyote, hata kama ni kujenga viwanda kila kata. Vijana wanaohitimu vyuo ni wengi sana kila mwaka. Uwiano wa kila kazi moja inayotangazwa kwa sasa ni 1:90. Na bado watu tunazaa kama hatuna akili nzuri. Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu MAKINI tukuelewe.
2. Kwa nini Lowassa amengangania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?
Lowassa kiujumla yuko na uroho wa madaraka, uraisi kwake ni kufa na kupona. Na mbaya zaidi anatumia kundi la vijana hasa wasiokuwa na ajira (wasiokuwa na uwezo wa kufikiria na kudadavua mambo) ambao ndo wengi kuwalaghai na kauli ya NACHUKIA UMASIKI wakati hakuna urafiki kati yake yeye tajiri na umasikini.
Jitu gonjwa
Halina nguvu
Fisadi
Tamaa
Saliti
Nafiki
King'ang'anizi
Kwnn anataka sana urais
Huyo atakuwa ana tamaaa
Visasi
Kurudisha gharama zake za uchaguzi
Hatuko tayr kuachilia jizi liende ikulu
Mkuu.....unajielewa kweli? unasema LOWASA ni mroho wa Madaraka Kwanini usiwe we we na CCM yako zaidi ya miaka 50 nabado mnatapeli watu ili mchaguliwe tena.....Unasema Lowasa ni FISADI uligundua lini kuwa ni Fisadi....Naikiwa ni mgonjwa hebu tuwekee vyeti vyake hapa km uthibitisho Vinginevyo peleka Upumbavu wako huko Lumumba
Anayeonekana kung'ang'ania madaraka ni Lowassa tu na sio kina Wassira na wengineo ambao tangu hayati Baba wa taifa wapo madarakani na hawana la kujivunia kwa wananchi