Maswali mtihani ya baadhi ya Wananchi

Maswali mtihani ya baadhi ya Wananchi

Dkt. Gwajima D

Minister
Joined
Nov 28, 2015
Posts
1,706
Reaction score
8,657
Swali la baadhi ya wananchi;

Mhe. Waziri GwajimaD, hivi hawa wasaidizi wako hawana msaada hadi useme sisi tukuletee matatizo ya nchi nzima wewe?

JIBU: wasaidizi wangu wana msaada mkubwa na wanafanya kazi kubwa sana na kilichotakiwa ni iwapo hamjapata huduma kwao basi, mje rufaa ya malalamiko kuwa, sijahudumiwa. Sasa sivyo ilivyo kwani, baadhi yenu hampiti kwenye utaratibu rasmi wa huko Serikali za Mitaa yenu na Halmashauri na Wilayani na Mkoani mnaamua kuja moja kwa moja kutafuta Viongozi wa kitaifa. Hapa sasa ndiyo changamoto inapoanzia jamani?

MSIMAMO WANGU; Kwa kuwa, abishaye hufunguliwa, mimi hulazimika kufungua milango na mwisho kuwaelimisha na kuwarejesha kwenye utaratibu mliouacha na huko, mnapata huduma kisha mnakuja tena na shukrani nami nawapa tena waliowahudumia.

SWALI KWENU: hapa tulipofikia, mnashaurije? nami nifunge milango kwa abishaye hodi au sasa iweje? Tuboreshe pamoja mwelekeo, tumetoka mbali pamoja✍️🇹🇿

Tunasonga mbele na FAHAMU ELIMIKA CHUKUA HATUA [FAECH].
07 JULAI, 2025.

IMG-20230122-WA0012.jpg
 
Usifunge milango madam minister kokote hata hapa JF kwa jinsi ulivyojitanabaisha hapa Jf naona unapata responses nyingi positive.
Endelea hivyohivyo kwa mtazamo wangu upo vizuri na unafanya kazi nzuri mwenyezi Mungu aendelee kukubariki
 
Swali la baadhi ya wananchi;

Mhe. Waziri GwajimaD, hivi hawa wasaidizi wako hawana msaada hadi useme sisi tukuletee matatizo ya nchi nzima wewe?

JIBU: wasaidizi wangu wana msaada mkubwa na wanafanya kazi kubwa sana na kilichotakiwa ni iwapo hamjapata huduma kwao basi, mje rufaa ya malalamiko kuwa, sijahudumiwa. Sasa sivyo ilivyo kwani, baadhi yenu hampiti kwenye utaratibu rasmi wa huko Serikali za Mitaa yenu na Halmashauri na Wilayani na Mkoani mnaamua kuja moja kwa moja kutafuta Viongozi wa kitaifa. Hapa sasa ndiyo changamoto inapoanzia jamani?

MSIMAMO WANGU; Kwa kuwa, abishaye hufunguliwa, mimi hulazimika kufungua milango na mwisho kuwaelimisha na kuwarejesha kwenye utaratibu mliouacha na huko, mnapata huduma kisha mnakuja tena na shukrani nami nawapa tena waliowahudumia.

SWALI KWENU: hapa tulipofikia, mnashaurije? nami nifunge milango kwa abishaye hodi au sasa iweje? Tuboreshe pamoja mwelekeo, tumetoka mbali pamoja✍️🇹🇿

Tunasonga mbele na FAHAMU ELIMIKA CHUKUA HATUA [FAECH].
07 JULAI, 2025.

Watoto wanaishia kuvuta bangi wakiume na wakike wanaishia kuwa Malaya .

Mimi ni Mwalimu , nimefundisha Tandika secondary , Temeke na Taifa

Hizi Shule zipo DSM unakuta darasani watoto wapo zaidi ya 200-300

Kuna A B C D E F G

Shule hizi watoto % kubwa wanavuta bangi wezi , na wakike wanafanya Sana uzinzi kujichubua .

Huwa najiuliza taasisi Kama ustawi wa jamii na wizara ya Elimu zinashindwa kuajiri Psychologist hata mmoja ambaye atakuwa anasimamia malezi ya watoto na makuzi yao generally

Ukisema ulaumu wazazi yes Ila wazazi hawajasoma hawapo exposed kwa mambo mengi hasa parenting issue

Kuna faida gani Ku-brag mnafanya Kazi ikiwa mnazalisha Taifa la vijana walevi , wanaondekeza ngono na pombe na kubeti ndo hawa wanapata zero na kukimbilia bodaboda na mwisho wanakufa kwa ajali au kukatika miguu.

msiishie mitandaoni ingieni na field pia.
 
Ndugu wanaotunyanyasa kishirikina tunawapeleka wapi muheshimiwa, kama unaamini katika dini ushirikina lazma uamini pia
 

Attachments

  • IMG_20250707_185922.jpg
    IMG_20250707_185922.jpg
    277.6 KB · Views: 18
Watoto wanaishia kuvuta bangi wakiume na wakike wanaishia kuwa Malaya .

Mimi ni Mwalimu , nimefundisha Tandika secondary , Temeke na Taifa

Hizi Shule zipo DSM unakuta darasani watoto wapo zaidi ya 200-300

Kuna A B C D E F G

Shule hizi watoto % kubwa wanavuta bangi wezi , na wakike wanafanya Sana uzinzi kujichubua .

Huwa najiuliza taasisi Kama ustawi wa jamii na wizara ya Elimu zinashindwa kuajiri Psychologist hata mmoja ambaye atakuwa anasimamia malezi ya watoto na makuzi yao generally

Ukisema ulaumu wazazi yes Ila wazazi hawajasoma hawapo exposed kwa mambo mengi hasa parenting issue

Kuna faida gani Ku-brag mnafanya Kazi ikiwa mnazalisha Taifa la vijana walevi , wanaondekeza ngono na pombe na kubeti ndo hawa wanapata zero na kukimbilia bodaboda na mwisho wanakufa kwa ajali au kukatika miguu.

msiishie mitandaoni ingieni na field pia.

Kuna wakati pamoja kuwa safari bado ndefu, jifunze basi kutambua hata mafanikio ya awali kisha toa maoni, usifikiri kazi yetu ni bure kabisa. Kuhusu vijijini, nako wanatufikia sana tena ndiyo zaidi. Wanatumia vitochi ndiyo maana huwaoni humu. Haya, pongeza haya 👇
 

Attachments

  • IMG-20250610-WA0013(5).jpg
    IMG-20250610-WA0013(5).jpg
    274.1 KB · Views: 16
Kuna wakati pamoja kuwa safari bado ndefu, jifunze basi kutambua hata mafanikio ya awali kisha toa maoni, usifikiri kazi yetu ni bure kabisa. Kuhusu vijijini, nako wanatufikia sana tena ndiyo zaidi. Wanatumia vitochi ndiyo maana huwaoni humu. Haya, pongeza haya 👇
Mkuu Mimi nakukubali ur very smart and intelligent.
 
Swali la baadhi ya wananchi;

Mhe. Waziri GwajimaD, hivi hawa wasaidizi wako hawana msaada hadi useme sisi tukuletee matatizo ya nchi nzima wewe?

JIBU: wasaidizi wangu wana msaada mkubwa na wanafanya kazi kubwa sana na kilichotakiwa ni iwapo hamjapata huduma kwao basi, mje rufaa ya malalamiko kuwa, sijahudumiwa. Sasa sivyo ilivyo kwani, baadhi yenu hampiti kwenye utaratibu rasmi wa huko Serikali za Mitaa yenu na Halmashauri na Wilayani na Mkoani mnaamua kuja moja kwa moja kutafuta Viongozi wa kitaifa. Hapa sasa ndiyo changamoto inapoanzia jamani?

MSIMAMO WANGU; Kwa kuwa, abishaye hufunguliwa, mimi hulazimika kufungua milango na mwisho kuwaelimisha na kuwarejesha kwenye utaratibu mliouacha na huko, mnapata huduma kisha mnakuja tena na shukrani nami nawapa tena waliowahudumia.

SWALI KWENU: hapa tulipofikia, mnashaurije? nami nifunge milango kwa abishaye hodi au sasa iweje? Tuboreshe pamoja mwelekeo, tumetoka mbali pamoja✍️🇹🇿

Tunasonga mbele na FAHAMU ELIMIKA CHUKUA HATUA [FAECH].
07 JULAI, 2025.

View attachment 3397495
Dr Gwajima picha Yako tunayo na tunaifahamu,
Haina haja ya kuweka picha kwa kila thread Yako.
 
Swali la baadhi ya wananchi;

Mhe. Waziri GwajimaD, hivi hawa wasaidizi wako hawana msaada hadi useme sisi tukuletee matatizo ya nchi nzima wewe?

JIBU: wasaidizi wangu wana msaada mkubwa na wanafanya kazi kubwa sana na kilichotakiwa ni iwapo hamjapata huduma kwao basi, mje rufaa ya malalamiko kuwa, sijahudumiwa. Sasa sivyo ilivyo kwani, baadhi yenu hampiti kwenye utaratibu rasmi wa huko Serikali za Mitaa yenu na Halmashauri na Wilayani na Mkoani mnaamua kuja moja kwa moja kutafuta Viongozi wa kitaifa. Hapa sasa ndiyo changamoto inapoanzia jamani?

MSIMAMO WANGU; Kwa kuwa, abishaye hufunguliwa, mimi hulazimika kufungua milango na mwisho kuwaelimisha na kuwarejesha kwenye utaratibu mliouacha na huko, mnapata huduma kisha mnakuja tena na shukrani nami nawapa tena waliowahudumia.

SWALI KWENU: hapa tulipofikia, mnashaurije? nami nifunge milango kwa abishaye hodi au sasa iweje? Tuboreshe pamoja mwelekeo, tumetoka mbali pamoja✍️🇹🇿

Tunasonga mbele na FAHAMU ELIMIKA CHUKUA HATUA [FAECH].
07 JULAI, 2025.

View attachment 3397495
Nimekutumia DM mama
 
Watoto wanaishia kuvuta bangi wakiume na wakike wanaishia kuwa Malaya .

Mimi ni Mwalimu , nimefundisha Tandika secondary , Temeke na Taifa

Hizi Shule zipo DSM unakuta darasani watoto wapo zaidi ya 200-300

Kuna A B C D E F G

Shule hizi watoto % kubwa wanavuta bangi wezi , na wakike wanafanya Sana uzinzi kujichubua .

Huwa najiuliza taasisi Kama ustawi wa jamii na wizara ya Elimu zinashindwa kuajiri Psychologist hata mmoja ambaye atakuwa anasimamia malezi ya watoto na makuzi yao generally

Ukisema ulaumu wazazi yes Ila wazazi hawajasoma hawapo exposed kwa mambo mengi hasa parenting issue

Kuna faida gani Ku-brag mnafanya Kazi ikiwa mnazalisha Taifa la vijana walevi , wanaondekeza ngono na pombe na kubeti ndo hawa wanapata zero na kukimbilia bodaboda na mwisho wanakufa kwa ajali au kukatika miguu.

msiishie mitandaoni ingieni na field pia.
Hoja nzito sana
 
Ni kweli kwenye escalation huwa kuna Level ila mpaka watu wanaenda level za juu means huko chini hawasikilizwi ,so endelea kupokea wageni ila na pia endelea kutoa elimu kwa ngazi za chini maana kinachowakimbiza watu ni Customer Care ni ZERO.
 
Watendaji hasa hawa wa vijiji,kata na mitaa wanawaangusha sana na wanaiangusha jamii kiujumla. Nimewahi kuishi Mkoani Ruvuma Wilaya ya Mbinga,kuna mambo ya ajabu yanafanywa na ile jamii huwezi amini kama kule nako ni sehemu ya Tanzania. Watoto wa kike wanabeba mimba wakiwa darasa la sita,saba na kuendelea huko.

Msababishaji wakati mwingine ni Mwalimu,mtumishi mwingine yeyote na vijana wa kitaani,sasa kwakuwa jamii ya kule hawana mpango na elimu,basi hawa watendaji hutumia nafasi hiyo kupiga fweza kwa mbebeshaji mimba lkn pia na kwa wazazi wa mwanafunzi.

Ebu fanya kuchukua kata inaitwa LUKARASI,kuna shule ya sekondari pale inaitwa LULI,ichukue kama sample,nenda kachukue takwimu za watoto walioacha shule kipindi cha labda 2020-2025 .

Uliza sababu na hatua zilizochukuliwa,na jaribu tu kufukua makaburi,hapa watumishi wengi hasa Walimu na Watendaji watatokomea kusiko julikana
Ebu nenda tu mh hapo LUKARASI MBINGA RUVUMA ukafanyie utafiti wako pale ujionee mwenyewe.
 
Back
Top Bottom