Maswali mengine 25 mazito kwa Lowassa

Maswali mengine 25 mazito kwa Lowassa

Muyanakili

Kwa uhakika hukuyatoa maswali haya ukiwa umetoka usingizini. Yamefanyiwa kazi nzuri. Tukienda hivi, JF kinakuwa kituo kizuri. Umetumia akili nyingi kumbana Lowasa, na hukuonekana kama unamuonea. Umeongea issues za ukweli. Maswali haya ni kisu cha moto kwa Lowasa camp. Nakupa like
 
Kwa uhakika hukuyatoa maswali haya ukiwa umetoka usingizini. Yamefanyiwa kazi nzuri. Tukienda hivi, JF kinakuwa kituo kizuri. Umetumia akili nyingi kumbana Lowasa, na hukuonekana kama unamuonea. Umeongea issues za ukweli. Maswali haya ni kisu cha moto kwa Lowasa camp. Nakupa like

Tunaanza kuchana mioyo ya wafuasi kabla ya kuharibu kichwa cheupe
 
Haya maswali ulipaswa pia uwaulize wagombea urais wote na sio Lowassa peke yake. Kwa nini utake msimamo wa Lowassa tu na sio misimamo ya wagombea wengine wote wa urais. Acha unafiki.
 
Haya maswali ulipaswa pia uwaulize wagombea urais wote na sio Lowassa peke yake. Kwa nini utake msimamo wa Lowassa tu na sio misimamo ya wagombea wengine wote wa urais. Acha unafiki.

Ndiyo walivyotumwa hao vibaraka wa Membe na Pinda.......
 
Hata ukija na kona nyingi nyingi tusha kubaini kuwa wewe ni Ant Lowasa, na kwa taarifa yako tu ni kuwa ndani ya ccm hakuna mtu wa kumpiku Lowasa ktk mbio za urais 2015....

Msaidie kujb maswali basi we si uncle lowassa
 
haya maswali umuulize pia Membe na wengine sio kila kitu aulizwe Lowassa tu kwani amekuwa mime wenu.

Membe na wengine wanahusika nn?
Leo lowassa ukiweza anzisha thread za hao wengine
 
Jibu kimajungu mkuu au umeishiwaa hadi majungu

Hahahaha mimi siyo mtu wa majungu. Me ni mtu wa data na fact......majungu ndiyo yamefanya Membe ayumbushe serikali ya JK. Mwanaume mzima kakalia tu majungu na kutoa siri za baraza la mawaziri
 
Ndiyo walivyotumwa hao vibaraka wa Membe na Pinda.......

Shida tunaiona hapa ni kama mmekutana watu wa kambi mnazojuana bila kujua sasa sisi wananchi ndio tunaanza kuwafahamu vizuri. Ukweli kwamba hayo maswali zaidi ya nusu hayajibiki na mwanaccm yoyote. Ajabu ni kwamba mnataka urais, hamuoni kwamba wananchi wameshtuka nyinyi mnaamini bado mtaingia madarakani. Nadhani ule utabiri wa yule padre sijui Mapunda utatimia wa ccm kufanya mauaji makubwa ili ibaki madarakani.
 
Maana naona maswali hayajibiwi bali tunaona majina yanatajwa tu hapa, sijui Dialo, mara mzungu wako. haya maswali hayamuhusu EL tu, ni wanaccm wote. Sisi kama watanzania tunataka majibu yake, iwe Membe, makamba, Mwigulu nk tena majibu yaliyonyooka. Vinginevyo jamani andaeni jeshi la kulazimisha matokeo. Watz wameshtuka nyinyi mnaendelea na siasa za majitaka na uhuni usio na tija.
 
Haya maswali anatakiwa aulizwe na ayajibu mwanafunzi wa chekechea na si kuyajibu Rais mtarajiwa wa awamu ya tano ya JMT Edward Ngoyai Lowassa
 
Back
Top Bottom