MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
- Thread starter
- #41
Mkuu wenzetu wa nchi jirani hua wanasema kua taifa letu tumejawa na vijana waoga,wanafki, wavivu, waongo na hawajiamini. Ukiona mtu anasema tufunge mjadala mtu flani keshasema inatosha muogope sana. Sasa msipolijadili jambo mtalitalipokeaje?Mambo mengine ukiyafikiria yatakupa shida-senior minister for how many years? Ndo sasa anagundua na kuamini kuwa vyuo vinne vinatosha? Halafu mtu anasema Mzee kasema basi fungeni mjadala!!!!!!!!!! Matamko tata yanaendelea.