Maswali kwa JK

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,793
12,238
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!
 
Hapo kwenye kusoma report sidhani kama kuna huo muda kwani Vasco Da Gama wa zamani alisoma kwanza kabla hajaanza exploration yake laki huyu wa sasa kaanza kwa kasi sana hadi anamfuata Maximo wewe unafikiria huo muda wa kusoma report ya kurasa nyingi kwa makini anao.
 
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!
Jamani rahisi wangu, ukoje? hv huyu jamaa hua anashauriwa na nani?
 
Hapo kwenye kusoma report sidhani kama kuna huo muda kwani Vasco Da Gama wa zamani alisoma kwanza kabla hajaanza exploration yake laki huyu wa sasa kaanza kwa kasi sana hadi anamfuata Maximo wewe unafikiria huo muda wa kusoma report ya kurasa nyingi kwa makini anao.
JK ana washauri wengi na idara ya mawasiliano, kwa nini hawamsaidii?!
 
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!

Hiyo mijadala ataifuatilia wakati gani wakati kila siku yuko safari au anapanga safari ifuatayo, leo Brazil, kesho ...
 
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!

Anafahamu kila kitu na ndiye mhusika mkuu kwa yaliyoandikwa katika hiyo ripoti
 
Jk sina hakika kama alishawahi kusoma ripoti yoyote, unless kama ipo kwenye CD au DVD aiangalie kama movie wakati anasafiri kwenye ndege.
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!
 
Mhe. Rais JK nina maswali machache naomba uyapatie majibu:
  1. Je ripoti ya CAG umewahi kupewa na kuisoma au kusikia hoja zake?
  2. Je mijadala ya wabunge wakiwa bungeni huwa unasikiliza au kupewa taarifa ya mijadala hiyo?
  3. Je kashfa zinazotolewa dhidi ya serikali yako hususan mawaziri unazifuatilia au unazipuuzia?
  4. Je kutokana na hali mbaya ya kiuchumi Taifa inalokabiliana nalo, una mikakati ya kutunasua au umekata tamaa?
Mhe. Rais huenda ukijibu maswali haya utapunguza hasira walizonazo wabunge na wananchi kwa jumla.

Salam aleykuum!

Mkuu
Samahani Bwana, unajua as of recent, nimededicate muda mrefu zaidi kuchangia thread moja iko kwenye jukwaa la JAMII INTELLIGENCE titled MIZIMU, kwa hiyo niko very sensitive na issues za mizimu.

Swali la Msingi
Haya Maswali unamuuliza Julius Kambarage au Jakaya kikwete, naomba Jibu kabla sijachangia?
 
Mkuu
Samahani Bwana, unajua as of recent, nimededicate muda mrefu zaidi kuchangia thread moja iko kwenye jukwaa la JAMII INTELLIGENCE titled MIZIMU, kwa hiyo niko very sensitive na issues za mizimu.

Swali la Msingi
Haya Maswali unamuuliza Julius Kambarage au Jakaya kikwete, naomba Jibu kabla sijachangia?

Halafu juu ya hilo swali kama ni JK wa sasa kweli unamuona yuko kusoma mareport ya page 100 kweli
Atasafiri muda gani sasa akikaa kusoma report zote hizo
 
Mkuu
Samahani Bwana, unajua as of recent, nimededicate muda mrefu zaidi kuchangia thread moja iko kwenye jukwaa la JAMII INTELLIGENCE titled MIZIMU, kwa hiyo niko very sensitive na issues za mizimu.

Swali la Msingi
Haya Maswali unamuuliza Julius Kambarage au Jakaya kikwete, naomba Jibu kabla sijachangia?

*Amini nawaambieni enyi Waswahili wachache mnaotawala; mnategemea kweli kuwa mtawaongoza Watanzania kwa lazima wakati wamepoteza matumaini, na mtegemee kuwa watasalia wamekaa kimya kwa amani na utulivu?* - Mwalimu J. K. Nyerere.

 
JK ana washauri wengi na idara ya mawasiliano, kwa nini hawamsaidii?!

hao ni watu wa kufanya kazi kulingana na kasi ya mkuu wao,akiwa active watachakarika,akiwa kilaza wanalala nae
 
Back
Top Bottom