kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,255
- 16,185
Zanzibar Wanapiga kura ya mapema kwa watu maalumu na kura ya watu wote siku ya pili.
Maswali kwa ZEC
1. Tume itabandika majina ya watu hao maalumu wanaotakiwa kupiga kura ya mapema kwenye vituo. Je, tume itayajuaje majina ya watu maalumu hadi iyabandike vituoni?
2. Kama tume inayafahamu majina yote ya watu maalumu je usiri katika kupiga kura utahakikishwa vipi? Maana Ni rahisi kufahamu watu maalumu wamepigaje kura zao Kama kura zao zitahesabiwa siku hiyohiyo.
3. Je, waliopiga kura ya mapema watazuiwaje kupiga kura Tena siku ya pili Zanzibar au Bara. Yaani kupiga Mara mbili kwenye uchaguzi.
4. Dhamira kuu ya kupiga kura siku mbili Ni Nini? Mbona Tanganyika ambayo Ina wapiga kura wengi inapiga kura siku moja tu watu wote
?
Hii inanikumbusha uchaguzi wa kura tatu za wakoloni
Maswali kwa ZEC
1. Tume itabandika majina ya watu hao maalumu wanaotakiwa kupiga kura ya mapema kwenye vituo. Je, tume itayajuaje majina ya watu maalumu hadi iyabandike vituoni?
2. Kama tume inayafahamu majina yote ya watu maalumu je usiri katika kupiga kura utahakikishwa vipi? Maana Ni rahisi kufahamu watu maalumu wamepigaje kura zao Kama kura zao zitahesabiwa siku hiyohiyo.
3. Je, waliopiga kura ya mapema watazuiwaje kupiga kura Tena siku ya pili Zanzibar au Bara. Yaani kupiga Mara mbili kwenye uchaguzi.
4. Dhamira kuu ya kupiga kura siku mbili Ni Nini? Mbona Tanganyika ambayo Ina wapiga kura wengi inapiga kura siku moja tu watu wote
?
Hii inanikumbusha uchaguzi wa kura tatu za wakoloni