Maswali Juu ya Website na App

Maswali Juu ya Website na App

Singidan

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
878
Reaction score
944
Hbari wakuu, naombeni msaada wa viswali vifuatavyo!
1. Nin tofauti ya online na offline version?
2. je nikitengenezewa domain/website hapa tz yaan mfano, sungita.co.tz je baaday naweza kuitengnezea application for androids phones na devices zngn?
 
mm ninachojua kuhusu online version, km ni app au software lazime ufanyaj kaz wake utumie intetnet bila net haiwez fanya kaz.. lakn km ni offline inafanyakaz bila kutumia interent...
 
  1. Tofauti ni kuwa offline inaweza fanya kazi bila hata ya internet ila kwa online lazima kuwe na internet ili iweze kufanya kazi.
  2. Yap unaweza kutengeneza Website then baadae ukaja kutengeneza app ya hiyo website yako na vikafanya kazi vyote kwa pamoja.
 
Kama umetengeneza app yako unataka kuiweka kwenye playstore ya goggle au apple juu ni hatua gan unazozifwata
Na kuna gharama yeyote unazopaswa kulipia au mashart ya kufwata
 
  1. Tofauti ni kuwa offline inaweza fanya kazi bila hata ya internet ila kwa online lazima kuwe na internet ili iweze kufanya kazi.
  2. Yap unaweza kutengeneza Website then baadae ukaja kutengeneza app ya hiyo website yako na vikafanya kazi vyote kwa pamoja.


Kama umetengeneza app yako unataka kuiweka kwenye playstore ya android au apple juu ni hatua gan unazozifwata
Na kuna gharama yeyote unazopaswa kulipia au mashart ya kufwata
 
Mkuu @cmsofe nimekupata vzuri na wengn mlionijbu. Ahsanten
 
Back
Top Bottom