Mwagabona Member May 7, 2023 79 112 Dec 6, 2023 #1 Habari wakuu, Naomba kusaidiwa kujua maswali muhimu yanayoulizwa kwenye nafasi tajwa hapo juu. Kiukweli hii ni kada ambayo siifahamu vizuri ila akitokea wa kunielewesha na kunipa namna ya interview zao zinakuaje naamini ntaleta ushindani. Shukrani
Habari wakuu, Naomba kusaidiwa kujua maswali muhimu yanayoulizwa kwenye nafasi tajwa hapo juu. Kiukweli hii ni kada ambayo siifahamu vizuri ila akitokea wa kunielewesha na kunipa namna ya interview zao zinakuaje naamini ntaleta ushindani. Shukrani
Mwagabona Member May 7, 2023 79 112 Dec 6, 2023 Thread starter #3 Bachelor ll said: Yoyote tu Click to expand... Sio poa mkuu
Junior counsel Senior Member May 17, 2022 190 503 Dec 6, 2023 #4 Ndo Huw Wana kazi gani Sent using Jamii Forums mobile app
Shangani JF-Expert Member Nov 2, 2014 730 1,010 Dec 6, 2023 #5 1. Soma kuhusu meeting 2. Report kwa ujumla wake 3. Fika halmashauri iliyopo karibu yako utapata majukumu yao kirahisi All the best. Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
1. Soma kuhusu meeting 2. Report kwa ujumla wake 3. Fika halmashauri iliyopo karibu yako utapata majukumu yao kirahisi All the best. Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mwagabona Member May 7, 2023 79 112 Dec 6, 2023 Thread starter #6 Shangani said: 1. Soma kuhusu meeting 2. Report kwa ujumla wake 3. Fika halmashauri iliyopo karibu yako utapata majukumu yao kirahisi All the best. Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app Click to expand... Nashukuru
Shangani said: 1. Soma kuhusu meeting 2. Report kwa ujumla wake 3. Fika halmashauri iliyopo karibu yako utapata majukumu yao kirahisi All the best. Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app Click to expand... Nashukuru