bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Wakuu habari,
Najiulizaga mbona Pm hujibu maswali Kama vile anaufahamu nayo kwa undani hivyo naomba kujuzwa je hupewa maswali kabla ili ajiandae.
Kama huwa hapewi kabla kwanini wanao muuliza huandaliwa na huwa hakuna random pointing kwa wauliza maswali?
Najiulizaga mbona Pm hujibu maswali Kama vile anaufahamu nayo kwa undani hivyo naomba kujuzwa je hupewa maswali kabla ili ajiandae.
Kama huwa hapewi kabla kwanini wanao muuliza huandaliwa na huwa hakuna random pointing kwa wauliza maswali?