Maswali ambayo hayana majibu

Maswali ambayo hayana majibu

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,897
Reaction score
7,525
Je Kama CHADEMA haina mvuto,imesambaratika,haipendwi, chama tawala kwanini wanaogopa kufanya reforms zinazopigiwa kelele Hadi watu kutekwa, kuumizwa, "kupotea", hadi kuzuia watu kwenye viwanja vya ndege kuhudhuria kesi, kusudi ili ufanyike uchaguzi wa huru na haki mkaithibitishia dunia maneno hayo? mnaogopa nini?

Je ni reforms zipi pengine ambaye anajua anaweza kutuwekea watanzania tukasoma na tukajua kua reforms zinazopiganiwa kwa jasho machozi na damu

Je ni reforms zipi za uchaguzi zilizopo Sasa ambazo zimeonekana kukandamiza uchaguzi kua huru na WA Haki?

Kwanini midahalo ya kitaifa hua inakimbiwa? Kama mnajiamini na mna uwezo wa kujenga hoja na wananchi wakawasikiliza na kuamua kwanini wote wagombea Urais pamoja na mwenyekiti wa uchaguzi na mwenyekiti wa midahalo ambaye hafungamani na kokote kusiendeshwe mdahalo wa kitaifa na iwe LIVE watu wote nchini waone na wasikie

Kwanini Hadi uvamie, uteke, upoteze, uvamie kwenye hotel za watu, uumize watu, na zaidi takwimu za mwaka huu zaidi ya watanzania milioni 50+ wanatumia huduma za intaneti, ni mtanzania Gani mzalendo unaweza kumficha kitu kwa sasa ukiacha wale chawa(bendera fata upepo) ambao hawajui Wala kuelewa hata wanachokipigania.

Watanzania kama Mimi wanawaza kwa sauti
 
Mkuu kwani hujui kufanya hizo reforms ni sawa na kumwamsha aliye lala?

Kama wao wamelala, waamshwe?
 
Je Kama CHADEMA haina mvuto,imesambaratika,haipendwi, chama tawala kwanini wanaogopa kufanya reforms zinazopigiwa kelele Hadi watu kutekwa, kuumizwa, "kupotea", hadi kuzuia watu kwenye viwanja vya ndege kuhudhuria kesi, kusudi ili ufanyike uchaguzi wa huru na haki mkaithibitishia dunia maneno hayo? mnaogopa nini?

Je ni reforms zipi pengine ambaye anajua anaweza kutuwekea watanzania tukasoma na tukajua kua reforms zinazopiganiwa kwa jasho machozi na damu

Je ni reforms zipi za uchaguzi zilizopo Sasa ambazo zimeonekana kukandamiza uchaguzi kua huru na WA Haki?

Kwanini midahalo ya kitaifa hua inakimbiwa? Kama mnajiamini na mna uwezo wa kujenga hoja na wananchi wakawasikiliza na kuamua kwanini wote wagombea Urais pamoja na mwenyekiti wa uchaguzi na mwenyekiti wa midahalo ambaye hafungamani na kokote kusiendeshwe mdahalo wa kitaifa na iwe LIVE watu wote nchini waone na wasikie

Kwanini Hadi uvamie, uteke, upoteze, uvamie kwenye hotel za watu, uumize watu, na zaidi takwimu za mwaka huu zaidi ya watanzania milioni 50+ wanatumia huduma za intaneti, ni mtanzania Gani mzalendo unaweza kumficha kitu kwa sasa ukiacha wale chawa(bendera fata upepo) ambao hawajui Wala kuelewa hata wanachokipigania.

Watanzania kama Mimi wanawaza kwa sauti
Kama chadema imekufa, possibly wanaogopa kuweka reforms maana kuna watu wako ccm pia wanataka hizo reforms. So kuwepo kwa reforms na kuondoa ukandamizaji hasa kwenye chaguzi ni mwanzo wa upinzani mwingine kutokea ndani ya ccm yenyewe.
 
Do u have mental health issues?
Screenshot_20250519-140807.png
 
Back
Top Bottom