Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Warioba amevurugwa kwa kiasi kikubwa sana anashindwa afanye lipi kwenye maisha yake alivyodanganya alijua kuwa kazi imeisha kumbe alikuwa anajaribu kina cha maji kwa miguu yote miwili.
Wewe nawe kila kitu lazima udandie na kuandika upuu.zi huoni aibu? Unalipwa shilingi ngapi kwa kujivua kwako akili? Naomba nikuambie, wewe umejidhihirisha kuwa ni binadamu asiye na hoja ya msingi na anayeweza kutumika vyovyote vile kwa furaha ya wengine. Hata kama uko nyuma ya keyboard na hakuna akujuaye jaribu kuona aibu kidogo. Mbona ukiwa peke yako MSALANI huwezi fanya mambo ya ajabu kwa vile tuu watu hawakuoni?
Mzee Warioba amejidhihirisha kuwa sio saizi yenu.
Sent from my iPad using JamiiForums
Last edited by a moderator: