rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 318
Tusubiri atajibiwa au tayari kajibiwa huenda.Aya ya mwisho umeisoma? Mbona ametoa fursa kama kuna mtu ambaye anaweza akayajibu mbali na mungu ayajibu
Sent using unknown device
Kwaiyo wewe huwezi kujibu?Tusubiri atajibiwa au tayari kajibiwa huenda.
Maana mambo mengine naogopa hata kuyaingilia
Naweza kidogo
Ndio nimeielewa.
Kwani toka uzi ulivyoanza hakuna aliyejibu hayo maswali?
Kwani toka uzi ulivyoanza hakuna aliyejibu hayo maswali?
Hujaona jibu au hujaridhika na majibu?
Kunawatu naona wameshajibu siku nyingi
Hujaona jibu au hukubaliani na majibu yaliyopo?
Ha ha haaaMASWALI MENGINE YA KUJIULIZA..
kabla ya wazungu kuja babu zetu walikua hawamjui Mungu? ina maana wote wapo motoni? na wachina wahindi waarabu na wajapan ambao hawamjui yesu wataenda motoni? sisi waafrika na wazungu ndo tutaenda mbinguni? yani mtu na mbaguzi wake wanaenda kuishi mbingu moja!!!??
Tusiwe wapumbavu kiasi hiki.
Sasa lengo la waliyotunga hiyo biblia lilikuwa ni nini?Biblia ni story za kufikirika/allegory..
Hakujawahi kuwepo kwa mtu au watu laliotajwa humo ndani..sio adam,yesu,musa na wengine wote..they didnt,dont or will never exist..
Jifunzeni kuisoma kama kitabu chenye mafumbo/code zilizofichwa..kifupi biblia ni manuscript ya wewe binadamu na sio hizo story za jangwani..
Mungu ni wewe ni mimi na sio vinginevyo..acheni kuimagine vitu mlivyokaririshwa makanisani misikitini..