Masters ya Kiswahili (fasihi), msaada

Butho Mtenzi

JF-Expert Member
Feb 26, 2011
331
22
Nimesoma BAED (HIST NA KISWAHILI) Ila mastazi yangu nataka nifanye Kiswahili pekee anaefaham procidure zake naomba anisaidie na Chuo gani kinafaa
 
Nakushukuruni Wakuu nitatembelea kujua mustakhabali wake! Ni lazima tudumishe Lugha yetu
 
Nakushukuruni Wakuu nitatembelea kujua mustakhabali wake! Ni lazima tudumishe Lugha yetu

Nami natafut ufumbuz wa swal hl. Nam napga BEDA (HIST as minor subject & KISW as major subject) lakn nataman kuja kuchukua M.A ya Kiswahl tu. Lakn n chuo gan kinatoa hii shahad ya uzaml ndo shda lakn 2tajua 2.

KISWAHILI KITUKUZWE
 
Nami natafut ufumbuz wa swal hl. Nam napga BEDA (HIST as minor subject & KISW as major subject) lakn nataman kuja kuchukua M.A ya Kiswahl tu. Lakn n chuo gan kinatoa hii shahad ya uzaml ndo shda lakn 2tajua 2.

KISWAHILI KITUKUZWE

udsm pia ata udom
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom