Masters Degree

Masters Degree

  • unadhani kila mtu ana IQ ndogo kama wewe,
  • hadi Leo unasoma education,badala ya kusomea degree za maana
Wewe mlamba Nyau Education kwangu ni degree ya maana sana. Ni zaidi ya wito kwangu. Afu ata ivo IQ yako ni ndogo sana, kujitutumua kote ni hiyo Education imekutoa Kindergarten to Form six. Nimekupuuza zaidi mlamba nyau ww
 
Wewe mlamba Nyau Education kwangu ni degree ya maana sana. Ni zaidi ya wito kwangu. Afu ata ivo IQ yako ni ndogo sana, kujitutumua kote ni hiyo Education imekutoa Kindergarten to Form six. Nimekupuuza zaidi mlamba nyau ww
-Wenzio tumesoma Geomatics vitu vigumu, wewe unakimbilia education
- endelea kulamba makombo ya ccm
 
- huwezi kuwa muhasibu/ accountant kama sio CPA,
Mzee, usijidanganye Mimi na kaka ni consultant wa masuala ya fedha tena ana kampuni ila HANA CPA ila ni GURU kuhusu muhurii anatumia wa watu.

Mbali ya Mimi kua mdau wa afya mwandamizii senior ila Nina degree ya mambo ya fedha ipo kabatini so Mimi sio layman najua mambo yotee sijui PAYBACK PERIOD, IRR, LIQUIDITY, RISK MANAGEMENT, FINANCIAL STATEMENTS, BUSINESS CYCLE, BUSINESS IS SEPARATE ENTITY,

SO HATA MIMI MUDA WOWOTE NIKIAMUA NAWEZA NIKAJIANDIKISHA NA KUFANYA MITIANI YA BODII NA NIKATOBOA..

NB. WAPO WAHASIBU WAZURI TU ILA HAWANA CPA IPO IVYO
 
-Wenzio tumesoma Geomatics vitu vigumu, wewe unakimbilia education
- endelea kulamba makombo ya ccm
Unaisomaje Geomatics bila Education. Usiwe kilaza basi ww mlamba nyau
 
Mzee, usijidanganye Mimi na kaka ni consultant wa masuala ya fedha tena ana kampuni ila HANA CPA ila ni GURU kuhusu muhurii anatumia wa watu.

Mbali ya Mimi kua mdau wa afya mwandamizii senior ila Nina degree ya mambo ya fedha ipo kabatini so Mimi sio layman najua mambo yotee sijui PAYBACK PERIOD, IRR, LIQUIDITY, RISK MANAGEMENT, FINANCIAL STATEMENTS, BUSINESS CYCLE, BUSINESS IS SEPARATE ENTITY,

SO HATA MIMI MUDA WOWOTE NIKIAMUA NAWEZA NIKAJIANDIKISHA NA KUFANYA MITIANI YA BODII NA NIKATOBOA..

NB. WAPO WAHASIBU WAZURI TU ILA HAWANA CPA IPO IVYO
- unaposema wapo wahasibu wazuri na hawana cpa unakosea,Ili uitwe accountant ni lazima uwe cpa,kama una degree ni Afisa hesabu au assistant accountant
 
U

Umeandika vizuri mzee mwenzangu ila umejisifia tu point ya kubeba hapa walau "AMBITION IS A DREAM"
Hapana mzee , Mimi Huwa napenda sana sana kusoma naweza nikasema ngoja NIANZE kusoma degree ya masscomunication & jonarism Nika apply na kuanzia kusoma evening program na nikatoboa
 
Mzee, usijidanganye Mimi na kaka ni consultant wa masuala ya fedha tena ana kampuni ila HANA CPA ila ni GURU kuhusu muhurii anatumia wa watu.

Mbali ya Mimi kua mdau wa afya mwandamizii senior ila Nina degree ya mambo ya fedha ipo kabatini so Mimi sio layman najua mambo yotee sijui PAYBACK PERIOD, IRR, LIQUIDITY, RISK MANAGEMENT, FINANCIAL STATEMENTS, BUSINESS CYCLE, BUSINESS IS SEPARATE ENTITY,

SO HATA MIMI MUDA WOWOTE NIKIAMUA NAWEZA NIKAJIANDIKISHA NA KUFANYA MITIANI YA BODII NA NIKATOBOA..

NB. WAPO WAHASIBU WAZURI TU ILA HAWANA

Nenda kasome ardhi kama hujaliwa kichwa
Ardhi kitu gani na ww mlamba nyau
 
Mzee, usijidanganye Mimi na kaka ni consultant wa masuala ya fedha tena ana kampuni ila HANA CPA ila ni GURU kuhusu muhurii anatumia wa watu.

Mbali ya Mimi kua mdau wa afya mwandamizii senior ila Nina degree ya mambo ya fedha ipo kabatini so Mimi sio layman najua mambo yotee sijui PAYBACK PERIOD, IRR, LIQUIDITY, RISK MANAGEMENT, FINANCIAL STATEMENTS, BUSINESS CYCLE, BUSINESS IS SEPARATE ENTITY,

SO HATA MIMI MUDA WOWOTE NIKIAMUA NAWEZA NIKAJIANDIKISHA NA KUFANYA MITIANI YA BODII NA NIKATOBOA..

NB. WAPO WAHASIBU WAZURI TU ILA HAWANA
 
  • endelea kula makombo ya ccm
  • unaenda kusoma Master Ili upande daraja ili uongeze makombo
Wenda natumia nguvu kubwa kumbe nabadilishana mawazo na form Four Failure. sasa kama mawazo yako yameishia hapo sina haja ya kujibizana na ww mlamba nyau 😄
 
- unaposema wapo wahasibu wazuri na hawana cpa unakosea,Ili uitwe accountant ni lazima uwe cpa,kama una degree ni Afisa hesabu au assistant accountant
Hayo ni majina TU ok! Mimi kaka angu ni afisa hesabu na kaajir CPA kibao sio kwamba hawezi / kufaulu MITIANI ya BODII ila kaamua kufanya ivyooo.

Brother angu hana CPA ila ni GURU kwenye uhasibu anafungia mahesabu makampuni mengi sana tena ya NICHE TOFAUTI TOFAUTI so usivimbie CPA Huku hujui kazi..

Mimi nipo afya ila miaka mingii Sasa ila 2020 nili gradu 🎓 mambo ya fedha level ya degree na hata kwenye business zangu na apply uhasibu niliota usoma ila sina CPA
 
Hayo ni majina TU ok! Mimi kaka angu ni afisa hesabu na kaajir CPA kibao sio kwamba hawezi / kufaulu MITIANI ya BODII ila kaamua kufanya ivyooo.

Brother angu hana CPA ila ni GURU kwenye uhasibu anafungia mahesabu makampuni mengi sana tena ya NICHE TOFAUTI TOFAUTI so usivimbie CPA Huku hujui kazi..

Mimi nipo afya ila miaka mingii Sasa ila 2020 nili gradu 🎓 mambo ya fedha level ya degree na hata kwenye business zangu na apply uhasibu niliota usoma ila sina CPA
  • kama ni guru mwambie afanye mtihani asiogope.
  • Mimi sio CPA Mimi ni Professional land surveyor
  • yaani uko afya halafu unaenda tena kwenye uhasibu, jiimarishe kwenye kada ya afya
 
  • kama ni guru mwambie afanye mtihani asiogope.
  • Mimi sio CPA Mimi ni Professional land surveyor
  • yaani uko afya halafu unaenda tena kwenye uhasibu, jiimarishe kwenye kada ya afya
Jiimarishe wewe ulie ajiliwa..unajua nyinyi mmeajiriwa sisi tumeajiri/ tuna ajiri Mimi na kampuni yangu so ni muhimu SANAAAAAA kujua mambo ya fedha unajua kama director tunapewaga reports za financial so kama hujui mambo ya kifedha unafanyaje??

Kuhusu uguru Kuna umri ukifika unabidi utumie watu uwalipe kufanikisha mambo.. huo muda wa kwenda kusoma kutafuta CPA wakati unaweza ajiri mtu na ukamlipa? Haiondoi maana kua mtu anaweza kuwa GURU wa uhasibu bila KUA NA CPA

WELCOME TO THE WORLD 🌎 SISI WENGINE TULICHAGUA KUJIAJIRI SO NIPO KWENYE AFYA NA HAINIZUIHI KISOMA COURSE NYINGINE MFANO NOW NASOMA MAMBO YA GRAPHICS DESIGNING LEVEL YA DIPLOMA
 
Jiimarishe wewe ulie ajiliwa..unajua nyinyi mmeajiriwa sisi tumeajiri/ tuna ajiri Mimi na kampuni yangu so ni muhimu SANAAAAAA kujua mambo ya fedha unajua kama director tunapewaga reports za financial so kama hujui mambo ya kifedha unafanyaje??

Kuhusu uguru Kuna umri ukifika unabidi utumie watu uwalipe kufanikisha mambo.. huo muda wa kwenda kusoma kutafuta CPA wakati unaweza ajiri mtu na ukamlipa? Haiondoi maana kua mtu anaweza kuwa GURU wa uhasibu bila KUA NA CPA

WELCOME TO THE WORLD 🌎 SISI WENGINE TULICHAGUA KUJIAJIRI SO NIPO KWENYE AFYA NA HAINIZUIHI KISOMA COURSE NYINGINE MFANO NOW NASOMA MAMBO YA GRAPHICS DESIGNING LEVEL YA DIPLOMA
  • mimieni land saveya, consultant, nimeajiajiri, Nina ofisi yangu.
  • Guru kwenye uhasibu nani anayekutambua?
 
Back
Top Bottom