Master Science In Health Informatics

Erick Martie

JF-Expert Member
Jun 6, 2015
301
338
Habari wakuu,

Ningependa kufahamu kiundani kuhusu hii kozi ya Master of science in Health Informatics inayotolewa na UDSM.

Kwa aliyemaliza kozi ya afya anaweza kumudu kozi hii inayohusisha mifumo ya kidigitali ya Afya!?

Na vp kozi hii Scope yake kiujumla Bongo imekaaje wadau!?

Vp pia kuna chuo kingine bongo kinafundisha hii kozi zaid ya UDSM!?

Nimependelea hii kozi zaid kutokana na hii kozi kutolewa ktk flexible time especially evening classes baada ya mihangaiko ya mjin ya hapa na pale hapo UDSM.

Na pia inatoa nafasi ya kuweza kufanya mpaka pHd ktk chuo icho (just in case).

Na vp uhusiano wa hii kozi pamoja na ile Masters ya mzumbe ya Health System Management au ile ya Masters Sc. in Monitoring and Evaluation.

Kwa kuwa ninapendelea kufanya kazi kwenye mifumo ya kidigitali ya Afya.

Kwa waliosoma koz hiyo na mwenye uelewa wowote tafadhali naomba kunisaidia kutoa tongo tongo ili nipate ufahamu zaid kabla ya kufanya maamuz magumu tafadhali!

Nawasilisha!
 
Habari wakuu,

Ningependa kufahamu kiundani kuhusu hii kozi ya Master of science in Health Informatics inayotolewa na UDSM...
Ngoja waje kutupa muongozo..ila nacho fahamu kozi ya mzumbe ni tofauti mana mwenyewe haiingiliani na masuala ya IT yenyewe ni usimamizi wa mifumo ya kiutawala na utendaji katika sekta ya afya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ngoja waje kutupa muongozo..ila nacho fahamu kozi ya mzumbe ni tofauti mana mwenyewe haiingiliani na masuala ya IT yenyewe ni usimamizi wa mifumo ya kiutawala na utendaji katika sekta ya afya.

#MaendeleoHayanaChama
Ahh okey Kwa kuwa maendeleo hayana chama, tuendelee kusubiri wadau zaid wazid kutuelewesha kwa mapana na marefu...!
 
Hiyo inataka uwe na kozi za teknolojia ww endelea kuhudumia wagonjwa na kugawa dawa. Hiyo sio biolojia jombaa
 
Habari wakuu,

Ningependa kufahamu kiundani kuhusu hii kozi ya Master of science in Health Informatics inayotolewa na UDSM.

Kwa aliyemaliza kozi ya afya anaweza kumudu kozi hii inayohusisha mifumo ya kidigitali ya Afya!?

Na vp kozi hii Scope yake kiujumla Bongo imekaaje wadau!?

Vp pia kuna chuo kingine bongo kinafundisha hii kozi zaid ya UDSM!?

Nimependelea hii kozi zaid kutokana na hii kozi kutolewa ktk flexible time especially evening classes baada ya mihangaiko ya mjin ya hapa na pale hapo UDSM.

Na pia inatoa nafasi ya kuweza kufanya mpaka pHd ktk chuo icho (just in case).

Na vp uhusiano wa hii kozi pamoja na ile Masters ya mzumbe ya Health System Management au ile ya Masters Sc. in Monitoring and Evaluation.

Kwa kuwa ninapendelea kufanya kazi kwenye mifumo ya kidigitali ya Afya.

Kwa waliosoma koz hiyo na mwenye uelewa wowote tafadhali naomba kunisaidia kutoa tongo tongo ili nipate ufahamu zaid kabla ya kufanya maamuz magumu tafadhali!

Nawasilisha!
1.Ni kozi nzuri inahusiana zaidi na takwimu za afya (MTUHA)
2.UDSM pekee ndiyo inatoa kozi hii Kwa level ya master's degree kwasasa,Kwa level ya diploma Kuna vyuo bingo vinatoa kozi hito (Diploma in health information system ,Tandabuhi,Mwanza collage of health and allied science.

3.Kuna utofauti mkubwa Kati ya Health management system (Ukatibu wa afya ) -Health secretary na Health information system (Takwimu -MTUHA)
Hawa ni watu wawili wenye professional tofauti na hawaingiliani lakini mmoja ni boss wa mwenzake .Aliyesoma Health Management system anakuwa mtawala (Katibu wa afya) na aliyesoma Health Information system ni Mratibu wa takwimu.
 
1.Ni kozi nzuri inahusiana zaidi na takwimu za afya (MTUHA)
2.UDSM pekee ndiyo inatoa kozi hii Kwa level ya master's degree kwasasa,Kwa level ya diploma Kuna vyuo bingo vinatoa kozi hito (Diploma in health information system ,Tandabuhi,Mwanza collage of health and allied science.

3.Kuna utofauti mkubwa Kati ya Health management system (Ukatibu wa afya ) -Health secretary na Health information system (Takwimu -MTUHA)
Hawa ni watu wawili wenye professional tofauti na hawaingiliani lakini mmoja ni boss wa mwenzake .Aliyesoma Health Management system anakuwa mtawala (Katibu wa afya) na aliyesoma Health Information system ni Mratibu wa takwimu.
Shukran umenifafanulia vyema mkuu, nami napenda nijikite zaid kwenye takwimu za Afya, nadhan hii koz Msc. Health Informatics (UDSM) itanifaa zaid!
 
Back
Top Bottom