Linaboa sana na washiriki wakipata koment kutoka kwake wanakua wanaona kama yy ndo kila kitu kisa alishawahi kuwa prodyuzahainaga mvuto ndiyo maana ha
ta sponsors wanaikimbia...imebaki jina tu...show ya kifake sana dunia nzima...Master Jay kwanza kashazeeka hata misingi ya music hanaga tena...kabakia kubwabwaja tu kama Dudubaya
Labda kuwapa umaarufu wale wa mwanzo mwanzo
Huyu Jamaa huwa namkubali sana!
2017 BET Awards ktk Hall of Fame alimwelezea Tupac namna alivokuwa mchizi wake, daaah! Nilimkubali sana! Jamaa alimchambua Pac mpk akatoa chozi! It was so touching.
Kwa kweli sijui waliofata baada ya peter msechu. Namuonaga sijui walter chilambo hyo sikuangaliaga wanasema ndo alishinda sijui mwaka gani. Wengine sijui
Basi hilo jamaa JINGALeo hii anaona aibu. Kuna lugha nzuri ya kuongea na sio lugha anayoitumia ya ku abuse watu
Shida ni shindano ambalo majaji hawaangalii kipaji cha mtu zaidi wao wanachanganya na mapenzi yao binafsi kwa mtu mifano ni mingi mfano yule kayumba hakua mkali kuzidi walikuwepo nyuma yake lakini alishinda kwa sbb ya Madam Rita kuona hurumaHao washindi wa BSS za nyuma wako wapi?
Hii kitu sion faida yake nadhani wananufaika wachache
Katika maproduza wa zamani huyu alikuwa mweupe sana,biti zake nyingi zilikuwa za kawaida sana,Marco chali katengeneza hits nyingi kuliko bosi wake.Linaboa sana na washiriki wakipata koment kutoka kwake wanakua wanaona kama yy ndo kila kitu kisa alishawahi kuwa prodyuza