Mastar wa wanateseka na mapenzi, Tuwashauri

Mastar wa wanateseka na mapenzi, Tuwashauri

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
8,247
Reaction score
25,190
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa, Mastar wanavyoteseka na mapenzi...

Tuanzie hapa BONGO kwetu, BONGO kama BONGO, yaani ukija kwa wasanii wakubwa kama ZUCHU analia jamani huko anapigwa matukio kisawasawa...

Pamoja na U STAR wake yaani hana furaha na malovee, kashapigwa tukio huko na Bwana SIMBA naona SIMBA kashakula Swala huko sasa mke wke SIMBA anapiga kelele.

Njoo kwa Maua huko analia kuwa hajawahi kuwa na furaha katika mahusiano yake hata mara moja

Uzi tayari
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa, Mastar wanavyoteseka na mapenzi...

Tuanzie hapa BONGO kwetu, BONGO kama BONGO, yaani ukija kwa wasanii wakubwa kama ZUCHU analia jamani huko anapigwa matukio kisawasawa...

Pamoja na U STAR wake yaani hana furaha na malovee, kashapigwa tukio huko na Bwana SIMBA naona SIMBA kashakula Swala huko sasa mke wke SIMBA anapiga kelele.

Njoo kwa Maua huko analia kuwa hajawahi kuwa na furaha katika mahusiano yake hata mara moja

Uzi tayari


Kumbe Maua Sama anateswa na mapenzi na hasemi
 
Ni sehemu ya maisha, hata Shakira pamoja na kujimwambafai sana kuwa yeye ni supper woman hababishwi na mwanaume yyt yule (akimnanga aliyewahi kuwa mume wake Gerald) juzi kibao kimegeuka kaanza kutoa milio ya kumlilia Gerald yuleyule ambaye mwanzoni alijinasibu kuwa hafai
 
Back
Top Bottom