Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,322
kiswahili nacho shida
Usiwe mvivu kusoma,nimeshasema hapo juu kwamba ingawa hii inahusu wasanii wa bongo japo sio mbaya kujipima,elewa wewe sipo hapa na team zenu za instagram.
kiswahili nacho shida
Wana Followers wachache sana,kina bieber sijui watakuwa na wangapi kwa sasa enzi zile FB walikuwa wanafika 60mils.
Hao followers wanawaongezea ugali???