kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 143
Kutokana na kazi zangu za kutumia nguvu nahitaji kupumua kidogo. Huwa inanilazimu kwenda Kinondoni ambako ni mbali na foleni kali hasa wakati wa jioni. Wazee naomba mnijuze kuhusu Massage centre za mambo yetu maeneo ya Kariakoo ili nami nipate pumua hapa jirani.