Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,982
- 142,230
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.
Watu hao wenye silaha wanasemakana walivyalia kijeshi na walitumia silaha za masafa marefu.
Mkuu wa kituo hicho cha watu wenye ulemavu palipoteka mauaji hayo ya kinyama anasema milio ya silaha ilisikika katika jengo lililokodishwa kwa ajili ya pati iliyoandaliwa na Idara ya Afya.
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani shambulizi hilo na kusema Marekani imekumbwa na tukio la mauaji ya watu wengi ambalo halifanani na jingine lolote duniani.
Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la kijasusi la FBI David Bowdich anasema sababu kubwa ya mauaji hadi haijafahamika.
"Kwa wakati huu ninaelewa moja ya maswahili yenu ni kuhusu tukio hili la kigaidi. Ninawaeleza sasa kuwa hatujui kama hili ni tukio la kigaidi kwa hiyo tunaanzia mwanzo kufanya kazi na wenzetu waliopo katika eneo hili. Tunadhani inaweza kuwa, pia inaweza isiwe lakini tunafanya kazi bega kwa bega nao kuanzia mwanzo. Kama mambo yatabadilika tupo hapa na hakuna hatua yoyote itakayopotea wakati uchunguzi utakapokuwa unaendelea." Alisema
Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.
Watu hao wenye silaha wanasemakana walivyalia kijeshi na walitumia silaha za masafa marefu.
Mkuu wa kituo hicho cha watu wenye ulemavu palipoteka mauaji hayo ya kinyama anasema milio ya silaha ilisikika katika jengo lililokodishwa kwa ajili ya pati iliyoandaliwa na Idara ya Afya.
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani shambulizi hilo na kusema Marekani imekumbwa na tukio la mauaji ya watu wengi ambalo halifanani na jingine lolote duniani.
Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la kijasusi la FBI David Bowdich anasema sababu kubwa ya mauaji hadi haijafahamika.
"Kwa wakati huu ninaelewa moja ya maswahili yenu ni kuhusu tukio hili la kigaidi. Ninawaeleza sasa kuwa hatujui kama hili ni tukio la kigaidi kwa hiyo tunaanzia mwanzo kufanya kazi na wenzetu waliopo katika eneo hili. Tunadhani inaweza kuwa, pia inaweza isiwe lakini tunafanya kazi bega kwa bega nao kuanzia mwanzo. Kama mambo yatabadilika tupo hapa na hakuna hatua yoyote itakayopotea wakati uchunguzi utakapokuwa unaendelea." Alisema
![]()
The violence began around 11 a.m. at the convention building at the Inland Regional Center where employees with the county health department were attending a holiday event. Witnesses said at least two shooters opened fire, killing 14 people.
Another 17 people were hurt -- many wounded by bullets from automatic-style rifles, some injured in the panic to escape.
The shooters fled in a black SUV, prompting a huge police response in the area.
As the hours passed, the hunt for the suspects continued with a tip taking officers to a home about 10 miles away in Redlands.
When detectives followed up on it, a black SUV with Utah plates passed by slowly then sped up and raced off, a law enforcement official close to the investigation told CNN. A police car spotted it and took up pursuit.
There was a shootout, the official said. The male suspect shot out of the vehicle while the woman drove. The SUV stopped a quarter a mile later, as an officer returned fire.
A device that looked like a bomb also flew out of the vehicle, Meredith Davis with the Bureau of Alcohol Tobacco and Firearms and Explosives told CNN affiliate KCAL/KCBS. The SUV was racing back toward San Bernardino, she said.
Residents were stunned to hear the eruption of continuous gunfire. A barrage of bullets riddled the SUV's windshield.
A third person who was caught running near the scene was detained, but police aren't sure whether he was connected to either shooting.
San Bernardino Police Chief Jarrod Burguan didn't say how old the suspects were or physically describe them in detail. He told reporters they were armed with assault-style rifles and handguns.
A law enforcement official told CNN the rifles were AR-15s or similar style weapons.
The man and the woman were dressed in what Burquan said was "assault-style clothing," describing it as "dark, kind of tactical gear."
He wouldn't say if he knew if they were related.
Source: CNN