Mass Shooting in San Bernadino, California

Mass Shooting in San Bernadino, California

Status
Not open for further replies.

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,982
Reaction score
142,230
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.

Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.

Watu hao wenye silaha wanasemakana walivyalia kijeshi na walitumia silaha za masafa marefu.

Mkuu wa kituo hicho cha watu wenye ulemavu palipoteka mauaji hayo ya kinyama anasema milio ya silaha ilisikika katika jengo lililokodishwa kwa ajili ya pati iliyoandaliwa na Idara ya Afya.
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani shambulizi hilo na kusema Marekani imekumbwa na tukio la mauaji ya watu wengi ambalo halifanani na jingine lolote duniani.

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la kijasusi la FBI David Bowdich anasema sababu kubwa ya mauaji hadi haijafahamika.

"Kwa wakati huu ninaelewa moja ya maswahili yenu ni kuhusu tukio hili la kigaidi. Ninawaeleza sasa kuwa hatujui kama hili ni tukio la kigaidi kwa hiyo tunaanzia mwanzo kufanya kazi na wenzetu waliopo katika eneo hili. Tunadhani inaweza kuwa, pia inaweza isiwe lakini tunafanya kazi bega kwa bega nao kuanzia mwanzo. Kama mambo yatabadilika tupo hapa na hakuna hatua yoyote itakayopotea wakati uchunguzi utakapokuwa unaendelea." Alisema



attachment.php


The violence began around 11 a.m. at the convention building at the Inland Regional Center where employees with the county health department were attending a holiday event. Witnesses said at least two shooters opened fire, killing 14 people.

Another 17 people were hurt -- many wounded by bullets from automatic-style rifles, some injured in the panic to escape.

The shooters fled in a black SUV, prompting a huge police response in the area.

As the hours passed, the hunt for the suspects continued with a tip taking officers to a home about 10 miles away in Redlands.

When detectives followed up on it, a black SUV with Utah plates passed by slowly then sped up and raced off, a law enforcement official close to the investigation told CNN. A police car spotted it and took up pursuit.

There was a shootout, the official said. The male suspect shot out of the vehicle while the woman drove. The SUV stopped a quarter a mile later, as an officer returned fire.

A device that looked like a bomb also flew out of the vehicle, Meredith Davis with the Bureau of Alcohol Tobacco and Firearms and Explosives told CNN affiliate KCAL/KCBS. The SUV was racing back toward San Bernardino, she said.

Residents were stunned to hear the eruption of continuous gunfire. A barrage of bullets riddled the SUV's windshield.

A third person who was caught running near the scene was detained, but police aren't sure whether he was connected to either shooting.

San Bernardino Police Chief Jarrod Burguan didn't say how old the suspects were or physically describe them in detail. He told reporters they were armed with assault-style rifles and handguns.

A law enforcement official told CNN the rifles were AR-15s or similar style weapons.

The man and the woman were dressed in what Burquan said was "assault-style clothing," describing it as "dark, kind of tactical gear."

He wouldn't say if he knew if they were related.

Source: CNN
 

Attachments

  • S057105088-300_0.jpg
    S057105088-300_0.jpg
    60 KB · Views: 1,338
Vipi dogo umesalimika na hao shooter shooter!!!
Poleni wanhanga
 
Ngoja tusubiri replay ya jaluo kupigia chepuo gun control na nra & republicans kumshutumu kwa ku'politicise' msiba.
 
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.

Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.

Watu hao wenye silaha wanasemakana walivyalia kijeshi na walitumia silaha za masafa marefu.

Mkuu wa kituo hicho cha watu wenye ulemavu palipoteka mauaji hayo ya kinyama anasema milio ya silaha ilisikika katika jengo lililokodishwa kwa ajili ya pati iliyoandaliwa na Idara ya Afya.


Rais wa Marekani Barack Obama amelaani shambulizi hilo na kusema Marekani imekumbwa na tukio la mauaji ya watu wengi ambalo halifanani na jingine lolote duniani.

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la kijasusi la FBI David Bowdich anasema sababu kubwa ya mauaji hadi haijafahamika.

"Kwa wakati huu ninaelewa moja ya maswahili yenu ni kuhusu tukio hili la kigaidi. Ninawaeleza sasa kuwa hatujui kama hili ni tukio la kigaidi kwa hiyo tunaanzia mwanzo kufanya kazi na wenzetu waliopo katika eneo hili. Tunadhani inaweza kuwa, pia inaweza isiwe lakini tunafanya kazi bega kwa bega nao kuanzia mwanzo. Kama mambo yatabadilika tupo hapa na hakuna hatua yoyote itakayopotea wakati uchunguzi utakapokuwa unaendelea." Alisema
 
Ikipigwa Amerika ni big deal, wakipigwa Nigeria ni kawaida tyuuu
 
America damu mlizomwaga Iraq,Afghanstan, Libya sasa znaanza kuwarudia.
Mnajifanya miungu watu tambuen kuwa Mungu amemuumba mwanadamu kwa maksudi yake lakn nyinyi kwavile mnajifanya sawa na Mungu sasa mnaanza kukiona cha Moto. Mungu kawachanganya akili. Mnawaua waislamu wakat huo mnawakaribisha huko kwenu.

Mnatengeneza siraha nzito utadhan mnaenda kuulia mamba na boko kumbe za kuulia binadamu sasa onen mnaonja utamu wa siraha zenu.

Laana yote iwe juu yenu.
 
Mungu saidia usikute rafiki yangu ni miongoni mwao, japo hakai maeneo hayo yeye anaishi Marryland
 
Magaidi hao! Mungu atusaidie, maana kupigana na MTU ambaye haogopi kufa, na kifo kwake ni tuzo ni ngumu sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom