gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,572
Rungu gani tena!Hahahh Simba kaufyata mkia,mkia ukafanana na Rungu...Mimi nimeona hilo tu.
Rungu gani tena!Hahahh Simba kaufyata mkia,mkia ukafanana na Rungu...Mimi nimeona hilo tu.
Uyo simba vipi,ana meno kama ya panya...harafu nikama ananjaa vile
Hee io nini apo chini,jamani jamani...mbona kipanya anamatusi ivo
Mkia huoUyo simba vipi,ana meno kama ya panya...harafu nikama ananjaa vile
Hee io nini apo chini,jamani jamani...mbona kipanya anamatusi ivo
Anajitetea kwa kukunja mkia...!!! Labda anarejea hotuba ya H.P wakati akifafanua wale walienda ng'ambo kutetea kukamata viroba vya mchanga wetu wanaovyogeuzwa akili...kisa wameona 'embe dodo' limenyooka. H.P naye ana maneno.mbona kipanya ana....i ivo
Sa hapa kuna urahisi gani mbona ngumu kuelewa??
ILA swala anaonekana ana hasira sana. Sijui kwa nini?Kuna mtu anawa piga risasi wameamua kusepa wote
Kipanya mhuni tuu, huo mkia mbona kama umetahiriwa alikua anamaanisha nn badala ya kuweka vimanyoya pale mwishoni?Mkia huo
Masoud kajua kutukorogaKipanya mhuni tuu, huo mkia mbona kama umetahiriwa alikua anamaanisha nn badala ya kuweka vimanyoya pale mwishoni?