Masomo ya ziada kwa wanaohitaji

Masomo ya ziada kwa wanaohitaji

Optimistic_

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
2,347
Reaction score
1,860
Wakuu habarini? Poleni na majukumu.

Kwa mzazi au mlezi aliye na mtoto mwenye uhitaji wa kusoma masomo ya science mwalim nipo.

Eneo ni Ubungo Riverside. Pia kwa wale private candidates na QT mnakaribishwa.

Kuna wengine wanaorudia mtihani wanafanya kazi pengine hawataki kuja kituoni naweza kukufuata sehemu uliyopo (tutaelewana malipo ya kukufuata)

Hutojutia kufundishwa. Mnakaribishwa.

Masomo yatakayofundishwa

1. PHYSICS
2. CHEMISTRY
3. MATHEMATICS
4. BIOLOGY

Kwa kidato cha 1 paka cha 6

Phone # 0765991551
 
Back
Top Bottom