Masomo ya kilimo na ufugaji

Masomo ya kilimo na ufugaji

donata fredy

Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
45
Reaction score
85
Habari za kuamka wakubwa zangu na wadogo zangu

Kuna msemo usemao, “Fursa ziko kila mahali zimelala tu ovyo ovyo zikisubiri jicho la kuona zionwe”. Ndugu, najua muda mwingi umekuwa unafikiria ufanye kazi gani itakayokuletea kipato kizuri, tena ikiwezekana kwa muda mfupi. Hili sio wazo lako tu ni wazo la wengi. Inapofika wakati wa kuamua kuanzisha biashara au kuwekeza, shida inakuja ni biashara gani ufanye au ni kitu gani uwekeze. Kujiuliza namna ile sio dhambi, ni kawaida kabisa lakini nataka nikueleze kuwa mahali popote ulipo umezungukwa na fursa kibao. Kama hujaziona tatizo sio kwamba fursa hazipo tatizo ni macho yako hayazioni ila zipo.

Lengo langu ni
Mara nyingi nimekuwa mtu Wa semina kuelimisha maswala ya kilimo, ufugaji, ujasilia-mali nk.

Kwa wanao hitaji kujiunga na group la Ufugaji na Kilimo
Ila group litahusika na masomo tu ya kilimo na ufugaji tu
niandikie msg whatsapp nikuadd,
( no zangu ni 0673296942 )

Kwa maelezo zaidi yatapatikana ndani ya group.
 
Habari za kuamka wakubwa zangu na wadogo zangu

Kuna msemo usemao, “Fursa ziko kila mahali zimelala tu ovyo ovyo zikisubiri jicho la kuona zionwe”. Ndugu, najua muda mwingi umekuwa unafikiria ufanye kazi gani itakayokuletea kipato kizuri, tena ikiwezekana kwa muda mfupi. Hili sio wazo lako tu ni wazo la wengi. Inapofika wakati wa kuamua kuanzisha biashara au kuwekeza, shida inakuja ni biashara gani ufanye au ni kitu gani uwekeze. Kujiuliza namna ile sio dhambi, ni kawaida kabisa lakini nataka nikueleze kuwa mahali popote ulipo umezungukwa na fursa kibao. Kama hujaziona tatizo sio kwamba fursa hazipo tatizo ni macho yako hayazioni ila zipo.

Lengo langu ni
Mara nyingi nimekuwa mtu Wa semina kuelimisha maswala ya kilimo, ufugaji, ujasilia-mali nk.

Kwa wanao hitaji kujiunga na group la Ufugaji na Kilimo
Ila group litahusika na masomo tu ya kilimo na ufugaji tu
niandikie msg whatsapp nikuadd,
( no zangu ni 0673296942 )

Kwa maelezo zaidi yatapatikana ndani ya group.
kinachotakiwa uwe na shamba darasa watu wanakuja wanaona unachofanya,kama unafuga watu wanaona kweli unachofuga,kama unalima watu waje kujifunza shambani waone mambo unayofanya,hii mambo mtu anajidai anadownload material anatumia watu wakati mwenyewe hajui hata kushika jembe sio wakati wake huu,badilikeni jamani
 
kinachotakiwa uwe na shamba darasa watu wanakuja wanaona unachofanya,kama unafuga watu wanaona kweli unachofuga,kama unalima watu waje kujifunza shambani waone mambo unayofanya,hii mambo mtu anajidai anadownload material anatumia watu wakati mwenyewe hajui hata kushika jembe sio wakati wake huu,badilikeni jamani
Ninalima na ninafuga mh
 
huwez kufundisha kilimo kwa Whatsapp group, nlishangaa sana kusikia semina moja ya kufuga kuku inafanyikia hotelini, Mnatudhalilisha sisi wataalam wa kilimo
No
Si wote ni utaratibu Wa vikundi..
Shamba la mfano lipo
 
mkuu unapatikana wapi? ili ikiwezkana nije nijifunze kilimo na ufugaji kwa vitendo
.
 
huwez kufundisha kilimo kwa Whatsapp group, nlishangaa sana kusikia semina moja ya kufuga kuku inafanyikia hotelini, Mnatudhalilisha sisi wataalam wa kilimo
Bila kuweka semina Hotelini watapigaje pesa za wajinga!? Wanaandaa mazingira ya kukuonesha kuwa wapo serious kumbe ni ma'opportunist.
 
Back
Top Bottom