Masomo ya Certified Fraud Examiner

Masomo ya Certified Fraud Examiner

omoghaka

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
293
Reaction score
167
Naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia sehemu ambayo naweza kupata ufafanuzi wa jinsi ya kusoma Masomo ya CERTIFIED FRAUD EXAMINE(CFE) afanye hivyo.Kwa kweli nina uhitaji mkubwa sana na habari hizi na natanguliza Shukrani zangu kwa wote watakaonisaidia kupata taarifa za Kozi hii.
 
Hata mimi nimeona Tangazo la Kazi Sekretariet ya Ajira wakihitaji Mtu mwenye Certified Fraud Examiner(CFE).Sijajua waliyonayo walisomea wapi na kwa Muda gani.
 
ingia kwenye web yao, ila ofisi yao ACFE TANZANIA CHAPTER ipo nic kitega uchumi kama sikosei
nitaku pm no ya coordinator wao
 
ingia kwenye web yao, ila ofisi yao ACFE TANZANIA CHAPTER ipo nic kitega uchumi kama sikosei
nitaku pm no ya coordinator wao

Mkuu niPM ili niweze kuwasiliana nao.Nahitaji sana hii kitu.Kwa yeyote mwenye Maelezo ya nyongeza tafadhali naomba anipatie.
 
Mkuu niPM ili niweze kuwasiliana nao.Nahitaji sana hii kitu.Kwa yeyote mwenye Maelezo ya nyongeza tafadhali naomba anipatie.
Naomba na mimi namba ya coordinator wa haya masomo .Nataka nijiupgrade
 
Back
Top Bottom