CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Nonsenseuenyekiti tokea 2004 hadi Leo?? miaka zaidi ya 12?? hakuna mwingine mwenye sifa zaidi ya mbowe?? fikiria kwa mapama, usiwe unapelekeshwa tuu!! wanachama tumemchoka mwenyekiti
Nonsenseuenyekiti tokea 2004 hadi Leo?? miaka zaidi ya 12?? hakuna mwingine mwenye sifa zaidi ya mbowe?? fikiria kwa mapama, usiwe unapelekeshwa tuu!! wanachama tumemchoka mwenyekiti
Mkuu achana na kujibizana na huyu k.ilazaNonsense
Mbowe iko siku tutamchomoa kwa nguvu kwenye uenyekiti...Anaburuza sana ChamaNonsense
we ni wa hovyo sanaMkuu achana na kujibizana na huyu k.ilaza
Kama wewe ulivyokuwa wa ovyowe ni wa hovyo sana
Hahahaaaa there's no pogrom in the USA.
Ngabu hivi huna ndugu walioslia tz.... Wakakueleza jinsi mambo yalivyo hovyo.. Shukrani Mkuu hakuna mwenye hati miliki ya Tanzania, nchi hii ikiingia kwenye giza nene basi gharika litakuwa ni kwa Watanzania wote bila kujali itikadi zao au kama wana vyama au la.
BAK ilitakiwa upigwe life ban
oh jf siyo mbinguni Kwamba hapaingiliki akipigwa Leo. Dakika kadhaa anarudi na I'd mpyaIndeedNonsense
Mkuu kwa thread hii, kama hawajakuelewa basi wa subiri kueleweshwa na "NGUVU" ya Mungu.
Pole sana! JF kama ulivyosema, nao wanabanwa sidhani kama wanapenda kufanya hayo. Hilo neno d........ta lilikuwa halina zuio humu of very recent, nadhani wamezuiwa.
Wewe mwenyewe ndo umechoka.. Hama weweuenyekiti tokea 2004 hadi Leo?? miaka zaidi ya 12?? hakuna mwingine mwenye sifa zaidi ya mbowe?? fikiria kwa mapama, usiwe unapelekeshwa tuu!! wanachama tumemchoka mwenyekiti
Hapqna unayoyataka yatakujuta pek3yakoShukrani Mkuu hakuna mwenye hati miliki ya Tanzania, nchi hii ikiingia kwenye giza nene basi gharika litakuwa ni kwa Watanzania wote bila kujali itikadi zao au kama wana vyama au la.