Jamani hizi style za uandishi kazi kwelii kweli
Nachokijua ni kwamba serekali ilibadilisha sheria, nakuweka kikomo cha uongozi kwa wakuu wa hivi vyuo vikuu vya umma.Nafasi i ya u vice chancellor (VC) inakuwa ni mihula miwili ya miaka mitano mitano,, Ukimaliza miaka yako mitano nafasi inatangazwa public kila mtu mwenye sifa anaweza kuomba, na aliyemaliza mhula moja na yeye anaruhusiwa huomba, wanafanyiwa interview anayeshinda ndo anapewa mamlaka ya kuendesha chuo.
navyojua kwa Prof Mbettwe ametawala OUT huu ni mwaka wa tano,na wametangaza hiyo nafasi na yeye naamini ataomba kwani sheria inamruhusu iakishinda interview ataendelea kuwa mkuu wa chuo, lakini kipindi chake cha pili kikisha hataruhusiwa tena kuomba, labda kwa chuo kingine kama UDOM au UDSM,