Sio ww tu ni wengi sn wanaodai mishahara na wameandikia barua na madai yao yamehakikiwa zaidi ya mara 1lakini kimya. Ni dhuluma tu na ni dhambi pia.
Kwanini wasilipe?
2020 inakuja,pandikiza kitu kwa Ndugu na jamaa kuikataa ccm.
Dai tume huru ya uchaguzi ewe mtanzania.