Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Huyo wababa ndiyo yule jamaa alikuwa anavaa likofia kama la cowboy. Jiwe naye alikuaga na iyo swagger ya kuvaa hilo likofia ya cowboy akiwa Waziri wa ujenzi.
Siku hizi naona tangu awe Rais alivai ila anavaaga kikofia flan kama za Charlie chaplain wa 1940s hasa akiendaga bandarin kwa ziara za kushtukizia. Ila jiwe ana swagger za ajabu
View attachment 1143335
hahahhahaha...ukute pia ana trauza nyepesi nyeupe ya kitambaa😂😂😂