Masikitiko: Mshindi wa BSS 2009 anahitaji msaada

Tatizo hela za MICHANGO au za RAMBI RAMBI siku hizi wanapeleka kwenye mambo yasio husika, mambo yasio kwenye nia zetu wachangiaji.

Tulitoa michango ya wahanga kule BUKOBA, ila. . .

Tukatoa na kule UKEREWE kwa ndugu zetu, na kwenyewe dah. . .

NB Ila ndugu mwandishi, mungu akubariki kwa moyo wako wa huruma ulio onesha kwenye kuandika huu uzi.
 
Tatizo hela za MICHANGO au za RAMBI RAMBI siku hizi wanapeleka kwenye mambo yasio husika, mambo yasio kwenye nia zetu wachangiaji.

Tulitoa michango ya wahanga kule BUKOBA, ila. . .

Tukatoa na kule UKEREWE kwa ndugu zetu, na kwenyewe dah. . .

NB Ila ndugu mwandishi, mungu akubariki kwa moyo wako wa huruma ulio onesha kwenye kuandika huu uzi.
 
UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MPAKA RAIA WAKASEMA JAMAA ANAKULA MADAM
Screenshot_20181125-121659.png
 
Back
Top Bottom