Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,701
- 218,227
Anaitwa Pascal Cassian yuko Muhimbili hali yake ni mbaya sana , yasemekana alipata ajali , Msaidieni jamani .
kutoa ni moyo na Mungu atawalipa
kutoa ni moyo na Mungu atawalipa
Ajali ya nini bodaboda,alikwaaa gridi ya taifa tulia vizuri uandike ueleweke usiwe kama mtu aliyekunywa juice ya ukwaju ikamvuruga tumbo huku akiwa anataka awe wa kwanza kutuma taarifa.Anaitwa Pascal Cassian yuko Muhimbili hali yake ni mbaya sana , yasemekana alipata ajali , Msaidieni jamani .
kutoa ni moyo na Mungu atawalipa
Jf bhanaaa.Ajali ya nini bodaboda,alikwaaa gridi ya taifa tulia vizuri uandike ueleweke usiwe kama mtu aliyekumwa juice ya ukwaju ikamvuruga tumbo.
Tatizo hela za MICHANGO au za RAMBI RAMBI siku hizi wanapeleka kwenye mambo yasio husika, mambo yasio kwenye nia zetu wachangiaji.
Tulitoa michango ya wahanga kule BUKOBA, ila. . .
Tukatoa na kule UKEREWE kwa ndugu zetu, na kwenyewe dah. . .
NB Ila ndugu mwandishi, mungu akubariki kwa moyo wako wa huruma ulio onesha kwenye kuandika huu uzi.
Hela za ushindi alikula zote bila kuwekeza, mwache anyooke
yule ni Roger kama sikoseiNdo yule aliyekuwa anapiga gitaa?
UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MPAKA RAIA WAKASEMA JAMAA ANAKULA MADAMView attachment 945591
HAHHAAHAHA UNAMAANISHA JAMAA ANA TANESCONi wakati wake na yeye kuliwa.
sasa anasauti ipi sasamasikini ..alikua na sauti ya kumtoa nyoka pangoni..sauti nzito ya kiume
😂😂 nimemanisha kwenye shindano alikua ana sauti poa..huenda bado anayosasa anasauti ipi sasa