kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
SIMANZI imetawala kwa wazazi na uongozi wa Shule ya Awali iitwayo Nia baada ya kupoteza watoto wanne kufa papohapo baada ya kuangukiwa na ukuta wakati wakiwa michezoni
Shule hiyo ya awali chekechea ipo Kimara Matosa jijini Dar es salaam wilayani Kinondoni inamilikiwa na Jacqueline Sarungi [42] mkazi wa Kimara Matosa.
Juzi majira ya saa 6:30 mchana katika shule hiyo watoto wane walipoteza maisha papohapo na wengine watatu walijeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba uliokuwa karibu na shule hiyo.
Watoto hao walipoteza maisha wakati walipokuwa wakibembea na ghafla waliangukiwa na ukuta wa nyumba iliyo karibu na shule hiyo
Watoto waliopoteza maisha ni Isaack Ndosi [5], Gladness Shimwela (5), Devotha Living (5)na Ludacris Lawrence (3) wote walikuwa wakazi wa Kimara B Matosa.
Shule hiyo ya awali chekechea ipo Kimara Matosa jijini Dar es salaam wilayani Kinondoni inamilikiwa na Jacqueline Sarungi [42] mkazi wa Kimara Matosa.
Juzi majira ya saa 6:30 mchana katika shule hiyo watoto wane walipoteza maisha papohapo na wengine watatu walijeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba uliokuwa karibu na shule hiyo.
Watoto hao walipoteza maisha wakati walipokuwa wakibembea na ghafla waliangukiwa na ukuta wa nyumba iliyo karibu na shule hiyo
Watoto waliopoteza maisha ni Isaack Ndosi [5], Gladness Shimwela (5), Devotha Living (5)na Ludacris Lawrence (3) wote walikuwa wakazi wa Kimara B Matosa.