ni kweli mkuu akina masanja waseme jamaa yuko wapi
halafu huyo jamaa ana utajiri wa kutisha (masanja), na ndiye aliyechangisha zile fedha za kumpeleka Sajuki India, hajachangisha za kumpeleka huyo mwenzao hata south. Nahc kuna uhusiano wa mafanikio ya ze comedy na ugonjwa wa huyo Vengu. "kazi na dawa" kama wenyewe wanavyoigiza mwanzo wa kipindi.