Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,556
- 2,331
inasikitisha
pole kwake, namkubali kwa uigizaji
inasikitisha
Kwahiyo USHOGA unamuandama?Dogo wakati anakaa magomeni alikuwa na kashfa za ushoga.
Kwahiyo USHOGA unamuandama?
Sina uhakika....kwanin huoni kwamba hapo hata mi nimeuliza??Mhhh jaman unauhakikaa,,,,siku hzi kidogo tu shoga,,,asifanye hv shoga
Unamaana ni kama Malaysia Air line?
..., wote tukumbuke kuugua ni ibada ....
Masanja atuambie. Mbona mambo yake yako juu ilhali huyu ni mwenzake halafu Masanja ni mutu wa karibu sana na wakinga