Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,196
- 7,532
Kwa muda sasa nimekuwa nikizisoma makala mbali mbali za Prof. Mkumbo na kuzitafakari kila ninapopata utulivu.Hata hivyo nimejifunza mambo kadhaa ya msingi.
1.Kumbe bado tunao wataalam ambao wanaweza kuthubutu kuusema ukweli hata kama unaenda kinyume na mapenzi yao.
2. Kumbe bado kuna wanasiasa ambao wanaweza kuusema ukweli hata kama ukweli huo ni mchungu na ni "threat" hata kwao wenye.
3. Kumbe msomi anaweza pia kuwa mdau wa siasa na asipoteze tabia za kitaalam (Intellectual virtues) kama vile Fair mindedness na critical thinking& analysis.
Ninachomsikitikia ndugu yangu Prof ni kwamba, wengi katika jamii anayoiandikia, hawapendi fair- minded people.Wengi ni watu wenye ntimanyongo na wasiojua wanachokitaka na ni wachache tu, wenye busara na maarifa wanaoweza kung'amua hekma kutoka kwenye maandiko yake. Ila sasa, Sijui kama Prof atatoboa dhidi ya kashfa na mitusi ya maprofeshenali kati fani husika! Maskini Prof!Namuonea huruma dhidi ya dhahama itakayomfika kutoka kwa wabobezi,lakini kwa kuwa kaamua kuwa mwanazuoni, uadilifu ni kuendelea kufanyia kazi ujuvi wake aliozamia kwani siasa si chaka la kujitoa fahamu kama wanavodhani akina fulani.
1.Kumbe bado tunao wataalam ambao wanaweza kuthubutu kuusema ukweli hata kama unaenda kinyume na mapenzi yao.
2. Kumbe bado kuna wanasiasa ambao wanaweza kuusema ukweli hata kama ukweli huo ni mchungu na ni "threat" hata kwao wenye.
3. Kumbe msomi anaweza pia kuwa mdau wa siasa na asipoteze tabia za kitaalam (Intellectual virtues) kama vile Fair mindedness na critical thinking& analysis.
Ninachomsikitikia ndugu yangu Prof ni kwamba, wengi katika jamii anayoiandikia, hawapendi fair- minded people.Wengi ni watu wenye ntimanyongo na wasiojua wanachokitaka na ni wachache tu, wenye busara na maarifa wanaoweza kung'amua hekma kutoka kwenye maandiko yake. Ila sasa, Sijui kama Prof atatoboa dhidi ya kashfa na mitusi ya maprofeshenali kati fani husika! Maskini Prof!Namuonea huruma dhidi ya dhahama itakayomfika kutoka kwa wabobezi,lakini kwa kuwa kaamua kuwa mwanazuoni, uadilifu ni kuendelea kufanyia kazi ujuvi wake aliozamia kwani siasa si chaka la kujitoa fahamu kama wanavodhani akina fulani.