Huwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mikononi mwa polisi!!