Masikini Mange Kimambi

Mange, anasema viongozi wa cdm ni waoga wanaogopa kuitwa polisi, ila yeye kakimbia nchi kabisa! Yaani anawajaza watu kama wajinga,ilitakiwa aende bongo aongoze maandamano,sio kuwajaza wengine akiwa mbali.viongozi wa CDM wakijazwa wakafuata asemacho bila kujongeza,imekula kwao.
 
Mange ni mjumbe wa kuamsha kama unataka kujisahau, nafikiri anajua hilo, ila anajaribu kuwafanya wasijisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…