Masikini hana rafiki...

Kiuhalisia tajiri ndio hana rafiki bali wana
wapambe "wapambe nuksi".
Maana shida na dhiki ndio mzani yakinifu wa urafiki wa kweli.
 
Ndo maana maskin akipata hela na akitaka kuendelea kuish vile vile bila ya kuwa na marafiki anaonekana ana ringa ubinadamu kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…