Masikini hana chakupoteza akipoteza labuda kapoteza umasikini wake

Masikini hana chakupoteza akipoteza labuda kapoteza umasikini wake

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Watanzania msifikir kucomment na kupost ndo inatosha kupaza sauti zenu kudai HAKI dhidi ya viongozi wabinafsi bali
watawapuuza kama vile hawajawaona.

Marekani waliandamana Hadi bungeni na ikulu kumpinga Trump
Nyie endeleeni kukaa kama wafu mtegemee mtu mmoja awapazie sauti wakati umoja ni nguvu utengano ni udhaifu

Mnatakiwa kuungana kwa vitendo ikiwezekana kuwaaua kimyakimya viongozi wabinafsi na wasaliti sio muwaachie wao wawapambanie kupitia vibaraka wao huko ni kuwa wafu

Kumbukeni sio ninyi tu ata vizazi vyenu vitapitia haya.
 
Back
Top Bottom