Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Kumbe Mswaada ulio rudishwa kwa wananchi,baada ya kupingwa na idadi ya watu na wabunge, ambao ulijaa pumba jana niliona waziri Hawa Ghasia na naibu waziri wa sheria na katiba wakiunadi/kuutetea! Eti tusijadili jinsi ya kuandika katiba kwa kujadili nguvu za Rais ni zipi, tume ya uchaguzi kwamba iko imara, na Muungano ujadiliwe kwa kutoguswa muundo wake!!!!!!!!!!!!!! KUMBE WALIKUWA SERIOUS! (it is a sad situation).
Mwenye Mswaa huo auweke hapa
Kabla ya hapo nilimsikia katibu mkuu wa chama cha magamba akifoka kuwa ccm inafuata siasa ya ujamaa na kujitegemea, nikaamua kuzima TV na kwenda kulala huku nikijiuliza, watanzania tulikuwa wapi kuweka madarakani watu wasio jua mambo! Hii hali ya kuendelea kuongozwa na watu wasio kuwa na fikra inabidi ianze sasa.
Mwenye Mswaa huo auweke hapa
Kabla ya hapo nilimsikia katibu mkuu wa chama cha magamba akifoka kuwa ccm inafuata siasa ya ujamaa na kujitegemea, nikaamua kuzima TV na kwenda kulala huku nikijiuliza, watanzania tulikuwa wapi kuweka madarakani watu wasio jua mambo! Hii hali ya kuendelea kuongozwa na watu wasio kuwa na fikra inabidi ianze sasa.