Faili la mganga on air 🤭😅
Kwamba 🤣🤣29M views · 404K reactions | MACHETE the case is over🤣😅🤣😅 #reelsviralシ #viralreelschallenge #trendingreels #trendingreelsvideo #reelschallenge #comedy #weekend #PostViral | Machete Comedian
MACHETE the case is over🤣😅🤣😅 #reelsviralシ #viralreelschallenge #trendingreels #trendingreelsvideo #reelschallenge #comedy #weekend #PostViralwww.facebook.com
😢 kuweni makini mashushu hawana dogoWanadoria mitandaoni wajitafakari kwa kazi yao hiyo waliyopewa ya laana.
Mhhhhh......
View attachment 3588307
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ gudubaiDorian😂
Achana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?
Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼♂️
Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.
Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
Imagine watu wanajipa kazi ngumuAchana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?
Kwamba kua na watoto 2 ni exclusive 🤣🤣🤣Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼♂️
mwenyewe useme mambo yako then mtu ajitie jasusi OMG 😲Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.
Noma sanaJf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
Hello madamAchana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?
Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼♂️
Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.
Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
What’s up bro?Hello madam