Manumbu JF-Expert Member Oct 28, 2009 1,746 1,282 May 6, 2011 #1 Tukumbushane mashujaa wetu walio fanya makubwa kwa nchi hii. ninao mukichwa: 1. Mtemi Mirambo 2. Isike 3. Mkwawa 4. wengineo?
Tukumbushane mashujaa wetu walio fanya makubwa kwa nchi hii. ninao mukichwa: 1. Mtemi Mirambo 2. Isike 3. Mkwawa 4. wengineo?
G Gad ONEYA JF-Expert Member Oct 26, 2010 2,630 168 May 6, 2011 #2 5. Mangi ...? 6. Chief Mangungo wa Msovero, teh. Kwani hata leo ana replica wake
Manumbu JF-Expert Member Oct 28, 2009 1,746 1,282 May 6, 2011 Thread starter #4 itatuelimisha wengi kama tutadokeza kidogo makuu waliyoyafanya mashujaa hawa